BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Ndio maana kuna room ya kujifunza.. sasa nyakati hizi ni za kuchagua kazi kweli wakati upatikanaji wa kazi yenyewe ni mtihaniSiyo kweli.
Hilo ni mpaka uwrme hauna uzoefu wowote wa kazi yoyote.
Binadam inatakiwe useme ulichowahi kukifanya, kama hujawahi ufanya chochote, unasema ukweli.
Unasema mimi nimesoma mpaka darasa ??
Nimewahi kufanya au kujifunza kazi hii au hii.
Ndiyo maana vijana wengi mnakosa kazi za kufanya, mnashndwa hata kujieleza ukweli wenu.
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kweli watu wamechoka!!!Walete tu hizo ajira za Israel...
Mkuu, huyu mtu kajenga kabisa,Tatizo hiyo 8M hana, hata hiyo 3M ya Kibaha analipia kidogokidogo. Kipato kikiwa kidogo mtu analazimika kufanya mambo yaliyo ndani ya uwezo wake
Huyu ni mwajiriwa wa serikali atawezaje kuamua sehemu ya kwenda kufanya kazi?Sio lazima ufanye kazi sehemu ya kutumia nauli kubwa hivyo, badili upepo uende sawa na kipato.
Mkuu sehemu gani kimara utapata Kwa milioni 8 ?Kabisa,
Au mtu anaambiwa kimara kiwanja 8M, na Kibaha kiwanja 3M anakimbilia Kibaha, ila akishahamia Kibaha cost per month za kukaa mbali ni 300k
Mtoa mada anadai "kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k."Sema na kuishi mbali sana jau,
Hapo mkuu kama hio ratiba ni kweli nakuonea huruma,
Sometimes tunakimbilia viwanja vya bei rahisi ila mara mia ulipe pesa kubwa upate sehemu nzuri sio kujificha huko porini.
Naandika hii mada nikiwa na uchungu moyoni.
Sasa hivi nina miezi kama 4 hivi natumia Daladala kwenda na kurudi kazini na mara chache, tena chache sana huwa natumia bodaboda kazini mpaka home, home mpaka kazini.
Kutoka Nyumbani mpaka kazini nikipanda bodaboda direct ni elfu 15. Go and return inalala 30000 sh
Nikipanda bodaboda 1500 sh. mpaka kituo cha Daladala na nikipanda Daladala moja mpaka kazini awali nilikuwa natumia 1000 sh. Jumla 2500 sh, kwenda na kurudi natumia sh. 5000 kamili, nikipanda gari mbili nilikuwa natumia kama elfu 6 hivi. Pesa ambayo himilivu kwangu.
Ila sasa nikipanda Daladala itanilazimu nitumie takribani 7000 kwenda na kurudi.
Hapo ukiweka na chakula na maji around 5000.
Kwahiyo Mimi tu inabidi nitumie angalau elfu 12 kwaajili ya kazini. Familia kwa sasa hali ilivyo kwa siku ni sh. 10 -20 hapo mahitaji yote muhimu kama gas, mkaa, chumvi, Michele na unga viko ndani. Kama havipo lazima uangushe 20.
Kwahiyo inanilazimu kwa siku nitumie kuanzia elfu 30.
Vipi kwa anayelipwa laki 2.5 au laki tatu kwa Wahindi?
Vipi anayelipwa elfu 7 kiwandani kwa siku?
Kipato changu kidogo nahisi kupata msongo wa mawazo.
Kwa mwezi natumia karibu milioni 1 kwa chakula nyumbani , kazini , usafiri na dharura ndogondogo.
Hapo ukiweka dharura kubwakubwa kama kufiwa na ada za shule watoto mwezi mmoja naangusha zaidi ya milioni.
Serikali ipunguze nauli, watu wanashindia mihogo makazini Ili kubana nauli za kurudia nyumbani jioni.
Hakuna mtumishi wa umma au mwajiriwa wa sekta binafsi Dar es Salaam anaweza kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k.
Kwa nauli hizi Ili ugeuke na gari upate seat lazima ujipange. Unakuta kila ukipiga hesabu 20 imeenda kwa usafiri na misosi.
Umaskini utaendelea kutupiga maana hatuna mtetezi.
Nimesoma koment yako secretary wa waziri mkuuUnafanya kazi kkoo, unashindwa kwenda kimara ? Malamba mawili humo viwanja kwa 7M unapata ukubwa wa kutosha na hivyo unatumia 1000-1500 kufika job,
Sasa unafanya kazi kkoo halafu unanunua uwanja kibaha ndani ndani huko sehemu ya wew kupanda boda kufika barabaran,
Huu ni uzembe wake, asiilamu serikali
Daaaa !!Ila wa Tanzania tumezidi ukoondoo..Hizi nauli zinapandishwa kihuni sana.Naandika hii mada nikiwa na uchungu moyoni.
Sasa hivi nina miezi kama 4 hivi natumia Daladala kwenda na kurudi kazini na mara chache, tena chache sana huwa natumia bodaboda kazini mpaka home, home mpaka kazini.
Kutoka Nyumbani mpaka kazini nikipanda bodaboda direct ni elfu 15. Go and return inalala 30000 sh
Nikipanda bodaboda 1500 sh. mpaka kituo cha Daladala na nikipanda Daladala moja mpaka kazini awali nilikuwa natumia 1000 sh. Jumla 2500 sh, kwenda na kurudi natumia sh. 5000 kamili, nikipanda gari mbili nilikuwa natumia kama elfu 6 hivi. Pesa ambayo himilivu kwangu.
Ila sasa nikipanda Daladala itanilazimu nitumie takribani 7000 kwenda na kurudi.
Hapo ukiweka na chakula na maji around 5000.
Kwahiyo Mimi tu inabidi nitumie angalau elfu 12 kwaajili ya kazini. Familia kwa sasa hali ilivyo kwa siku ni sh. 10 -20 hapo mahitaji yote muhimu kama gas, mkaa, chumvi, Michele na unga viko ndani. Kama havipo lazima uangushe 20.
Kwahiyo inanilazimu kwa siku nitumie kuanzia elfu 30.
Vipi kwa anayelipwa laki 2.5 au laki tatu kwa Wahindi?
Vipi anayelipwa elfu 7 kiwandani kwa siku?
Kipato changu kidogo nahisi kupata msongo wa mawazo.
Kwa mwezi natumia karibu milioni 1 kwa chakula nyumbani , kazini , usafiri na dharura ndogondogo.
Hapo ukiweka dharura kubwakubwa kama kufiwa na ada za shule watoto mwezi mmoja naangusha zaidi ya milioni.
Serikali ipunguze nauli, watu wanashindia mihogo makazini Ili kubana nauli za kurudia nyumbani jioni.
Hakuna mtumishi wa umma au mwajiriwa wa sekta binafsi Dar es Salaam anaweza kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k.
Kwa nauli hizi Ili ugeuke na gari upate seat lazima ujipange. Unakuta kila ukipiga hesabu 20 imeenda kwa usafiri na misosi.
Umaskini utaendelea kutupiga maana hatuna mtetezi.
Nilijua una usafiri... Anyway... kulihudumia gari kunagharama zake mkuu.. kama unanua gari lazima uwe mtu wa mishe mishe.. au kama umeajiriwa uwe unapata mshahara ambao unaweza save 60% ya salary yako ,hapo utaenjoy..Tupige hesabu za mtu anayetumia gari ndogo tu inayokula wese la kawaida tu, say 1.3L engine. Mtu huyu anaendesha 50km kwenda kazini na kurudi kila siku. Gari inakula walau 1L kwa 10-12km/hr kwa wastani. Huyu mtu anahitaji kila siku kuweka wese angalau 5L x 3150 = 16,000 ≈ 20,000...hapo ameenda na kurudi, hajapata mishe yoyote ya kuongeza km.
Mwanzo tuliona wanaomiliki pikipiki hawajielewi, leo hii naona wao ndio wanafurahia maisha. Nasikia 1L inaweza kutembea hadi 60km sijui kama kuna ukweli hapo.
Oga! Are your sure?......Hujalazimishwa kukaa bongo, mji wa masikini huo. Nenda mkoani ukapate raha na upate fedha haraka wewe.
Sina gari mkuu, niliongea theory ambayo nahisi hata wenye magari wanaona tofauti. Zamani waliweza kwenda sheli na kuweka mafuta ya 10k(tulikuwa tunawaona), leo 10k is a joke.Nilijua una usafiri... Anyway... kulihudumia gari kunagharama zake mkuu.. kama unanua gari lazima uwe mtu wa mishe mishe.. au kama umeajiriwa uwe unapata mshahara ambao unaweza save 60% ya salary yako ,hapo utaenjoy..
Lakini nauli zimepanda una lalamika , sizani kama unaweza mudu kuhudumia gari kwa kucomplain 20K per day
Mkuu acha kutukumbusha machungu... watu tumetoka mbali sanaa.. nakumbuka niliwah endakariakoo asubuh nilirud saa 11 sikula ata kitu zaidi ya kandoro ya 200 aisee..Ukiona watu wanaamka saa tisa za usiku kutembea kwenda kazini, hawajapenda, wanaokula mihogo ya kuchoma ya jero mchana na Maji ya Mia hawajapenda, Lakini Viongozi wetu wana posho za kutosha kuwalisha watu wote wa Tanzania, Mlo wa mchana na usiku lakini wameamua kuchumia matumbo yao kwanza na hata milele.
Mkuu acha kutukumbusha machungu... watu tumetoka mbali sanaa.. nakumbuka niliwah endakariakoo asubuh nilirud saa 11 sikula ata kitu zaidi ya kandoro ya 200 aisee..