Dar es Salaam ili uende kazini na kurudi lazima uandae elfu 10 ya usafiri pamoja na chakula. Maskini hana chake hapa nchini

Ukienda mikoani asilimia kubwa hali ni mbaya bora hata dar
Mikoani matajari ni wale wale au familia zile zile miaka nenda rudi
 
Tatizo unakaa uko kerege alafu unategemea nini
 
Hili suala wengi hawazingatii, wewe unalipwa laki tatu halafu unakaa kilomita 45-50 mbali na kazini utakuwa maskini mpaka uzeeni... kaa mbali kama una usafiri wako nje ya hapo unazingua
Hata kama usafiri ni wako, hayo mafuta unakuta kwa mwezi umetumia laki 6 minimum.
 
Vijana hamtaki kazi zenye kulipa. Mnataka mteremko wa kuajiriwa kwa maslahi mazuri.

Kama unataka kazi inayolipa vizuri anzisha ya kwako.

Usitarajie tajiri akutajirishe!
 
Halafu kuna mwanamke anakwambia me sihitaji mwanaume, kama wanaume wanapitia uchumi huu hawa wanawake wetu itakuwaje aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna atakaye kusikia Mkuu!

Yote uloongea yapo nje ya uwezo wa Rais tuliyenaye kuyatatua.
 
Hata kama usafiri ni wako, hayo mafuta unakuta kwa mwezi umetumia laki 6 minimum.
Acha mafuta yaani Dar foleni unaipata vile vile kama kawaida yaani kama hizi mvua ,unaweza kutamani kiacha gari kweny foleni ili uwahi home kwa bodaboda..


Kwa Dar kama unakaa sehemu daladala zinafika bora upande daladala ...Gari ya kawaida unatakiwa kuwahi sana asubuhi kuepuka foleni
 
Weweeeee
Daladala huku mtu anatembea kwa miguu huku wewe unaendesha boda, akiyumba anakubali amwache raia wa miguu anakugonga wewe pamoja na abiria wako.
Wanasemaga kuwa ukigonga boda hata elfu 30 hulipishwi. Ni kama panzi tu
 
Mkuu, huyu mtu kajenga kabisa,
Ina mana kama unaweza kujenga nyumba ya 30M tu, halafu unashindwa kulipa 8M ya kiwanja sehemu nzuri, ? Ambayo nayo unalipa kidogo kidogo?
Haya tufanye umekopa milioni 10 nininue kiwanja cha 8 ml. Milioni mbili nifix mambo ya kifamilia. Mkopo ni wa miaka 7. Itanichukua miaka 7 tena kuweza kukopa milioni 15 ya kusimika Nyumba ya kuanzia. Huoni huo ni u crazy?
Unanja unakopa pesa let say 15 milioni unanunua kiwanja 2 milioni, 13 milioni unajenga nyumba ya kuanzia, baada ya deni kwisha unaweza kukopa pesa kubwa zaidi maana mshahara utapanda kidogo unafungua maduka 2 ya jumla Moja Chanika, jingine Gongolamboto .
Baada ya miaka 10 ya utumishi unakuwa doni.
 
Kiwanja cha 400sqm kimara unaweza pata kwa 8M, kwa mfipa unapata kwa 4M utofauti ni 4M, hii pesa kama upo serious na mradi unaweza isave ndani ya mwaka na ukaishi maisha yako vema,
Kuliko ukimbilie porin huko kisha uje ulete uzi kama huu wa kulalamikia daladala + habari za kufika home saa 5 na kuamka saa 9 kuwahi ofisini,

Hakuna faida ya kukimbilia kufanya kitu kama kitakuletea shida tu huko mbeleni
 
Halafu kuna mwanamke anakwambia me sihitaji mwanaume, kama wanaume wanapitia uchumi huu hawa wanawake wetu itakuwaje aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si ndo kudanga,michepuko na kujiuza mkuu we game la mahusiano siunaona linavoenda ni pesa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…