Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Tunakula ili tusifeKimsingi hapo kuna tonge tatu kwa mtu wa kigoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakula ili tusifeKimsingi hapo kuna tonge tatu kwa mtu wa kigoma.
Kilo moja(1) ya mchele inatakiwa kuliwa na watu nane(8)Wewe wa Dsm unawashangaa wa mikoani na wa mikoani wanawashangaa watu wa Dsm. Kwahiyo jiulize wewe kwanza kwanini kilo 1 watu wanne.
Yuko sahihi nimewahi ishi Tukuyu pale ni baridi nilikuwa nachapa msosi hadi najishangaa,wakati home ni Kyela kule ni joto , msosi hatufukii kihivyoo .Mkuu hujatuchota hapa?
Umaskn ukiwa unakula sana bs ww una future kula kias syo jtu linakula kama atakula tena achen kujishndilia kama gunia lamkaa waambie kuna jelaWale wataalam wa lishe au wale wataalam wa mahesabu, cross multiplication HiI Imekaaje.
Wote ni watanzania ila matumbo mengine yanapokea full tank.
Niko mkoa ambao sitautaja,nimeshuhudia mtu na mkewe wakipija wali kilo mbili na kubakiza kidogo sana,kwa uzoefu wangu wakuishi Dar kili mbili tulikuwa tukilafamilianzima ya watu nane na unabaki kidogo kiporo cha watoto asubuhí.
Hii imekaaje
Nenda kalime ekari Moja halafu upewe ugali kiasi cha nusu ngumu utapata majibu kwanini wengine wanakula sanaWale wataalam wa lishe au wale wataalam wa mahesabu, cross multiplication HiI Imekaaje.
Wote ni watanzania ila matumbo mengine yanapokea full tank.
Niko mkoa ambao sitautaja,nimeshuhudia mtu na mkewe wakipija wali kilo mbili na kubakiza kidogo sana,kwa uzoefu wangu wakuishi Dar kili mbili tulikuwa tukilafamilianzima ya watu nane na unabaki kidogo kiporo cha watoto asubuhí.
Hii imekaaje
Basi ndugu zako ndio wana njaa ila sio Dar es Salaam nzima.Semeni ukweli ni kwamba Dar kuna njaa sana kila kitu kinaenda kwa bajeti na uchoyo uchoyo. Sisi huku mkoa piga dusko la uwezo wako tembea sio dar unapakua mwingi familia nzima wanakutolea macho😀😀
Nilienda kwa ndugu zangu fulani back years nilikua nakula mtaani kisha nikirudi napakua kidoogo ili kuendana na beat.
Kilo moja watu 8? What a shame
MindsetWale wataalam wa lishe au wale wataalam wa mahesabu, cross multiplication HiI Imekaaje.
Wote ni watanzania ila matumbo mengine yanapokea full tank.
Niko mkoa ambao sitautaja,nimeshuhudia mtu na mkewe wakipija wali kilo mbili na kubakiza kidogo sana,kwa uzoefu wangu wakuishi Dar kili mbili tulikuwa tukilafamilianzima ya watu nane na unabaki kidogo kiporo cha watoto asubuhí.
Hii imekaaje
Wapo wenye mashamba mikoani na hawanunui mchele dukani kirejareja.Mkuu Imagine kuna mikoa msimu wa mavuno mchele huwa 900-2200/kg na haizidi hapo ilihali dsm Mchele unaanzia 2800-4000/kg
Sasa hapo nguvu ya kupika Kg2 unaitoa wapi
Kingine .......Wale wataalam wa lishe au wale wataalam wa mahesabu, cross multiplication HiI Imekaaje.
Wote ni watanzania ila matumbo mengine yanapokea full tank.
Niko mkoa ambao sitautaja,nimeshuhudia mtu na mkewe wakipija wali kilo mbili na kubakiza kidogo sana,kwa uzoefu wangu wakuishi Dar kili mbili tulikuwa tukilafamilianzima ya watu nane na unabaki kidogo kiporo cha watoto asubuhí.
Hii imekaaje
Watu masikini wanakula vyakula vyenye wanga mwingi (ugali, wali) kujaza matumbo na kupata energy.Kilo moja(1) ya mchele inatakiwa kuliwa na watu nane(8)
NAKAZIA HAPA.Dar tunakula kula. Tatizo mkoani milo mitatu tu.
Dar bajeti maisha magumu!!Wale wataalam wa lishe au wale wataalam wa mahesabu, cross multiplication HiI Imekaaje.
Wote ni watanzania ila matumbo mengine yanapokea full tank.
Niko mkoa ambao sitautaja,nimeshuhudia mtu na mkewe wakipija wali kilo mbili na kubakiza kidogo sana,kwa uzoefu wangu wakuishi Dar kili mbili tulikuwa tukilafamilianzima ya watu nane na unabaki kidogo kiporo cha watoto asubuhí.
Hii imekaaje
Mbona dar watu kibao mlo mmoja wa mihogo na maji kibaoMikoani huko vijijini ni milo miwili tu,chai haipo
WatU wanasomea nutrition degree kabisa,hizi club Kubwa huwa zinaajiri wataalamu walishe so usichukulie poa japo point zako zingine ziko sahihiMindset
Masuala ya lishe hayaitaji shule kubwa kiivyo.
Jaribu siku moja dunduliza njaa ya asubui na mchana uje kula usiku huone kama kilo moja ni nyingi kiasi gani.
Au hao uliowaona mikoani waamishie dar waishi mwezi mmoja wakijitemea kila kitu, hapo utapata majibu sahihi.
Kwakifupi maisha ya Dar tunatumia akili nyingi na nguvu kidogo.
Ukija na jembe mjini utalima lami bro.