Linazidi kukosa thamani na heshima mbele ya watanzania!
Yaani mpaka watu wakiwaona polisi wanajua ni watu wa mabavu wasio na akili!
HONGERENI JESHI LETU ZURI KWA WELEDI MKUBWA MLIOTUMIA.HAYA NDO RAIA WENGI WEMA TUNAYOYATAKA.UWANJA SAWA WA DEMOKRASIA,NYIE NI NDUGU ZETU.
Huelewi michezo ya kisiasa!Utakuwa bado kinda unanuka maziwa!Ukikua utajua![emoji2][emoji2][emoji2]na lile nyomi la mikutano ya lissu,ccm pia huwa wanahusika.
Sometimes tusifurahie Sana kwasabb hawa policcm wanaweza kuja na mbinu nyingine ya kumkamata lissu,hii ishu pengine ni danganya Toto[emoji2]
Jamani narudia tena Lissu sio Slaa, Lissu sio Lowasa Lissu sio Mbowe,
"Chana na democrasia"[emoji16][emoji16][emoji16] Yaani hata aliepelekewa barua kusaini hakuisoma!View attachment 1587852
Lugha yako ya taifa.Why?
Baada ya tarehe 20 oktoba matokeo.MATOKEO MPAKA SASA
Lissu 3-0 Polepole
Lissu 3-0 Magufuli
Lissu 3-0 CCM
Lissu 3-0 NEC
Lissu 3-0 Msajili
Lissu 3-0 Kamanda Zirrro
Lissu 3-0 Ma mboo_sasa
Lissu 3-0 Policcm
Huelewi michezo ya kisiasa!Utakuwa bado kinda unanuka maziwa!Ukikua utajua!
Bob amsterdam ametisha watu,
Ninyi mna utundio wa ubongo,inawezekana vipi watu ambao ndiyo huwa mnawategemea katika huduma za maji,umeme,afya,barabara,etc mnawakejeli kuwa ni mabeberu?!Yaani budget ya nchi zaidi ya asilimia 60 inategemea misaada kutoka kwa wazungu halafu mnawaita ni mabeberu!Huyu ndio beberu wa Lisu!
Mwambie baada ya oktoba ajiandae kumpkea baby wake
Kama IGP kanyoosha mkono unategemea Lissu akaripoti kwa OCS wa Moshi.kama nime elewa vizuri wito bado uko pale pale ila anatakiwa kuripoti mkoa wa kipolisi Kilimanjaro, na hii ni Zaidi ya ngonjera ya policcm
Ni kazi yao kulinda raia na mali zao!Sasa hawa wa kwetu wanageuka kituko baada ya wao kuwa waanzilishi wa fujo na taharuki kwa kupiga mabomu hovyo au risasi!thamani ya polisi iko wakati wa shida tu.duniani kote.
ndio maana huwa hawaihangaikii.juzi lissu kawaita wajinga,siku akitiwa jiwe atauliza polisi mliniacha navamiwa.