DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

Hyo DAZ naona alipita kwenye ule uzi wa "ulishawahi kula tunda kimasihara" akapata huko maujanja sasa yamemponza [emoji28] masihara gani ya kwenda kula chakula ya mzee[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Ha ha ha ha ha
 
Isije kuwa alikuwa anagonga visivyogongwa
 

Kuna uzi wa huo uzinduzi, huku umebug men.
 
... hilo linaitwa pepo la uzinifu! Lina nguvu za ajabu kulishinda sio lelemama; limeangusha wateule wengi.
 
Hiyo anzishia wewe uzi wake sio wote watapata content sawa kwenye hotuba.
 
Bwashee kuna angle tofauti tofauti katika kuhabarisha!
 
... issue nyingine ni "ana uwezo mdogo" ndivyo alivyosema mwenye nchi na ameagiza apangiwe kazi "inayoendena na uwezo wake"! Hii ni fedheha kubwa sana kwa jamaa; ubongo wa kuku Mtela Mwampamba ulionywa tangu ukiwa Chadema hukutaka kubadilika.
 
Kuna jamaa mmoja naye alikuwa DED Butiama Magori Alphonce naye alifukuzwa kwa sababu hii
 
Kama kumbukumbu zangu zipo vizuri,mtumbuliwa aliteuliwa akiwa si mtumishi wa umma.Vipi mkulu hajasema kuhusu kumpangia kazi nyingine.
 
Mwanaume anaweza kutongoza mwanamke yeyote yule anayemvutia haijalishi ni mke wa mtu au mme wa mtu.

Ni jukumu la mke wa mtu kumkataa mtongozaji na kumjulisha kuwa ameolewa hivyo mtongozaji hana nafasi tena.

Sheria ya kazi haituzuii kutongozana makazini ikiwemo kupigana miti kikubwa mambo yafanyike kwa kuheshimu faragha ya kila mmoja wetu na kutoathiri ufanisi kazini.

Adhabu ya mtumishi wa umma mtongoza wake za watu siyo kufukuzwa kazi bali ni kukataliwa na watongozwaji ?

Mteuzi anapata wapi muda wa kufuatilia kuwa wateule wake wanatongozana kazini na nje ya kazini kama siyo kuingilia faragha za watu?

Any way Usaliti mwisho wake mbaya tu karibuni mtaani Mtela Mwapamba uje ujiajiri kama ulivyokuwa unawaasa vijana wenzako wakati ukiwa DAS.
 
Hahaaa hiyo aibu sijui ataweka wapi sura yake jmn! Na vile mheshimiwa kaeleza kila kitu[emoji4]
 
Lazima hiii aisee...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jiwe hapanaa na anavyopenda vyeupee alafu anawatania eti Jokate mdogo lakini hawamuoni sijuiii sasa hapo jichanganyeee...
kuna jamaa yangu nilisoma nae chuo ana tabia hiyo,anakula demu kwa siri alafu anakuja kukwambia wewe umle huyo demu,kusudi la kukwambia hivi ni anapima nani anammendea demu wake
 
Kuna jamaa mmoja naye alikuwa DED Butiama Magori Alphonce naye alifukuzwa kwa sababu hii
CHADEMA INAONEKANA KUNA VITOM....SANAAA EH VIDUME KILA SEHEMU
Y MPAKA.MNAAIBISHA FAMILIA JAMANI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…