DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

DAS Kisarawe, Mtela Mwampamba atumbuliwa kwa kutongoza wake za watu

Sema taratbu bhana
Huyo atakuwa aliingia anga za mtu. Kwani hajui kuna teuzi zinafanyika kulinda maslahi binafsi? Mtela Mwampamba akome kabisa maana kila akiona kinachong'aa anadhani ni halali yake. Aliingia vibaya. DC piga kazi sana kwa utulivu.
 
Eti DC hajaolewa,nashangaa wazaramo wanamtazama tu.

Jafo hebu ongeza na huyo kundini ajue wazaramo hatushindwi.
 
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.
Kutongoza na kugonga wake za watu ni kuvunja maadili ya uongozi wa umma na waliapa kutokufanya hivyo
 
Hili pozi la Disii linatia shaka sana. Jamaa atakuwa alimmegea aisee. Ingekuwa mimi ungeenda jela! Yani huogopi kabisa kabisa!
Acha kutia petrol basii.... maana hakuna kitu kinauma kama kumegewe, imagination ndio huwa zinatesa sana.. ukifikiri lijamaa lilikuwa linamkunja kunja 😀😀😀
 
All d best mkuu maombiyangu ZILE NAMBA ZA MALIPO ZISIKUHUSU HUKO MBELENI SIJUI WANAITAJE TENA.....NGOJA NIMUULIZE KINA MDEE. A BR MSIGWA WALILIPIA WAPI
 
Sema taratbu bhana
Ila Abul Aaliyah tuende mbele turudi nyuma. Huu utawala una matatizo sana. Ni aibu kubwa sana kwa Rais wa nchi kusimama hadharani na kumsimanga DAS eti anatembea na wake za watu. Kwani alibaka? Kwani kuna official case kuwa alibaka? Sasa huo ushahidi kaupata wapi? Nakwanini asifanye kiofisi akamtimua tu taratibu? Kwanini Mkuchika na Jafo wasimalize hilo suala mpaka anakuja kutamka hadharani hayo mambo? Anajua madhara yake kwa familia ya aliyemtuhumu? Ndugu zake je? Mke na watoto je? Haya mambo haya.
 
Hakuna tena wa kumkubalia kumpatia mzigo Mwampamba maana sasa anaenda kuwa katibu kata tena huko maporini tu hata umeme atausikia tiibiisiii
Huenda vitu vitamu.. ndio maana jamaa aling'anga'na.. kapata alichopata sasa. Ila huu mda hayupo kazini ndio wakati mzuri wa kukamua..
 
Rafiki hapa umekosea sana, inainyesha unamchukia Jokate? au umeandika kupata sifa fulani??? JOKATE mwenyewe kashtuka nusra roho imtoke, huyu Mtela HAJAANZA LEO NA JPM kasema wazi kabisa kuwa ameishaonywa mara nyingi sana

unataka kusema mkono au macho ya serikali yako kwa wakuu wa wilaya??

hapo umemkosea Jokate sana, na kama unajiheshimu, TUBU au kiri kuwa umeandika kimakosa kabisa

kibaya umeandika kama vile una uhakika kabisa kabisa?? aisee , wewe ni muuaji mchawi

Hapa unajichoresha tu, kwa uzi huu na hizi picha zinazoendelea humu ndani, hata kama sio kweli kisemachwo unakibadilisha vipi? Isitoshe hizi habari za kuwa jiwe anapiga hiyo mashine, ni tetesi za muda mrefu. Maamuzi ya leo ni mambo ya penzi kitovu cha uzembe.
 
Duh "Atumbuliwa kwa kutongoza Wake za Watu"?? Hii heading hahahaha italeta mtafaruku kwenye familia. Kila atakapopita àtakua Branded hivyo!
 
Ndo yule alikuwa na Juliana Shonza kipindi kile Chadema.

Ila Jocate kafanya vibaya kumchongea mwenzake. Sasa kuchukua wake za watu kunahusiana nini na kazi yake. Ila serikalini huwa kuna watu wanafki. Mnafanya kazi fresh, halafu ukimpa mgongo anakusema vibaya.

JOCATE ACHA USINITCH.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom