Dawa ya mtu aliyeziba masikio ni kumuwekea loud speaker, kazi iendelee

Dawa ya mtu aliyeziba masikio ni kumuwekea loud speaker, kazi iendelee

 
Subirini tusaini mikataba kwanza tutwapa taarifa za mikataba. Kiuchavhe tu. Maana biashara ni siri.
 
Msisahau na version ya anna tibaijuka kihaya. "chambuwa kama bandari eeh, chambuwa.
 
Watanzania wengi wajinga mnapiga kelele bila uelewa mngesubiri utekelezaji muone kwa vitendo.
Hizo zako ni akili za mbuzi nenda kawashauli hao wajinga wenzako, ni mjinga mmoja tu kama wewe ambaye anaona moto mkubwa unawaka mbele na bado anakwenda kuona kama ataungua au la
 
Hizo zako ni akili za mbuzi nenda kawashauli hao wajinga wenzako, ni mjinga mmoja tu kama wewe ambaye anaona moto mkubwa unawaka mbele na bado anakwenda kuona kama ataungua au la
Hahah, huyo jamaa taahira kabisa, eti tusubiri tuone utekelezaji kwa vitendo
 
 
 
959FB751-F004-4106-8B35-70561EC54987.jpeg
 
Back
Top Bottom