Tumuombe Mungu atunasueKatika vitu napongeza awamu ya tano ni kutuonyesha dhahiri tabia za wanaojiita wasomi! Kumbe wana tamaa, njaa na tamaa ya vyeo kiasi vimemeza usomi na ufikiri wao kabisa!
Taifa hili tusitarajie wasomi kuliokoa, wameshafeli kabisa!
Hamjajua kiini cha mambo! Hata wakati wa Katiba Mpya wapinzani waliingia kichwa kichwa wakachezeshwa mchakamchaka baadae wakakimbia ukumbi na mechi ikaisha kwa kufungwa mabao 2 kwa 0. Hata hili nina uhakika Mfumo wa CCM utawafunga 2 kwa Zero kwa kuwa mna vichwa maji. Dr. Bashiru wakaonyesha kiduchu lakini badala ya kufikiri zaidi ndiyo kwanza wanamubeza!!Tunaweza kucopy na kupaste toka nchi nyingine kama tulivyofanya kwa BRN na mengine,mbona nchi nyingi tu zina tume huru za uchaguzi,si lazima tuanzishe formula yetu mkuu kwenye jambo hilo
Ivo vituo cjui wanafnya kaz wachaw maana ilibid watu weng waajiriwe uko kwenye vituo 8000 yan tukfny hosptal moja iajir 3 worker ni wafnya kaz 24,000Hahah hawana majibu nje ya hapo mkuu,wakijitahidi kuongeza jingine utasikia tumejenga vituo 8000 vya afya nchi nzima.
FULL STOP.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani tume huru inampa MTU ushindi au inatangaza matokeo kwa haki,doctor vipi bwana,tume kazi yake ni kutangaza mshindi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivo vituo cjui wanafnya kaz wachaw maana ilibid watu weng waajiriwe uko kwenye vituo 8000 yan tukfny hosptal moja iajir 3 worker ni wafnya kaz 24,000
Kwani mnadhani CCM wao wajinga?.
Wanajua fika Kama kutakuwa na tume huru hakuna ushindi,hii inayowabeba kamwe hawawezi ibadilisha labda kizai cha kumi cha wajukuu wetu
Itakua ivo mkuu wao wanatak madege na Majengo 8000 ya hosptal bila workers
Nakubaliana na maneno yake kwamba tume haipigi kura.Wakati unaanza leo kupata wasiwasi, wengine tulishajua hilo miaka kadhaa iliyopita.
Sikiliza zile pambio zao,, utajua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bashiru anajidharaulisha sana.Nakubaliana na maneno yake kwamba tume haipigi kura.
Sasa namuomba aelekeze serikali ya chama chake iruhusu hiyo tume huru ya uchaguzi ili cc wanachama tuwaonyeshe wapinzani huo ukweli
Itakua ivo mkuu wao wanatak madege na Majengo 8000 ya hosptal bila workers
Bashiru anajidharaulisha sana.
Anaongea kama vile Watanzania wote ni watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu bwana nilikuwa namheshimu lakini siku hizi kawa hovyo.
Dr. Mzima anajidai haelewi umuhimu wa tume huru ya uchaguzi?!
Ina maana kama timu mbili moja imara na moja dhaifu (Kaman anavyotaka tuchukulie Upinzani) hakuna haja ya refa?!