Nakubaliana na maneno yake kwamba tume haipigi kura.
Sasa namuomba aelekeze serikali ya chama chake iruhusu hiyo tume huru ya uchaguzi ili cc wanachama tuwaonyeshe wapinzani huo ukweli
lazima uwe lofa ukijiunga na chama hiki PH yake kwisha kabisa sasa ivi akili yake ni KB mojaAlishasema, sasa hivi yeye ni katibu wa CCM. Msimuulize maswala ya PHD yake huko jalalani.
Kuna mchangiaji mmoja kasema kuwa hawa watu wakisha kabidhiwa madaraka ndani ya chama basi sharti lao kuu ni kukabidhi weredi wao kwa wateuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa ivi huyu si yule bashiru wa mlimani akili yake iko sawa na lusindeKuna mchangiaji mmoja kasema kuwa hawa watu wakisha kabidhiwa madaraka ndani ya chama basi sharti lao kuu ni kukabidhi weredi wao kwa wateuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe kwenye katiba mpya tulikuwa tunashindana?sikujua mkuu basi hongereni kwa ushindiHamjajua kiini cha mambo! Hata wakati wa Katiba Mpya wapinzani waliingia kichwa kichwa wakachezeshwa mchakamchaka baadae wakakimbia ukumbi na mechi ikaisha kwa kufungwa mabao 2 kwa 0. Hata hili nina uhakika Mfumo wa CCM utawafunga 2 kwa Zero kwa kuwa mna vichwa maji. Dr. Bashiru wakaonyesha kiduchu lakini badala ya kufikiri zaidi ndiyo kwanza wanamubeza!!
sasa ivi huyu si yule bashiru wa mlimani akili yake iko sawa na lusinde
Kumbe kwenye katiba mpya tulikuwa tunashindana?sikujua mkuu basi hongereni kwa ushindi
huyu ni msomi mpumbavu hata kama mwalimu wangu. sijui kwann dr. bashiru amekuwa mpumbavu hivi tangu awe GS Wa ccm
Hizi PhD za CCM ndiyo zinatuletea ushindi bila kupingwaHivi Bashiru nae ni PhD holder? ccm anafanya biashara gani za kuweza kutoa elimu bure kwa watanzania,au kujenga barabara na miundombinu ya maji,Kama ana PhD basi nchi yetu itakuwa imepigwa laana si bure,sasa Kama msomi wa PhD anafanya siasa za level ya Msukuma Kuna nini tena hapo
shida sio bashiru shida ni ccm hata wewe ukishakuwa ccm tutakushangaa kuwa umepatwa na nini. siku akitoka ccm atarudi kwenye ubora wakehuyu ni msomi mpumbavu hata kama mwalimu wangu. sijui kwann dr. bashiru amekuwa mpumbavu hivi tangu awe GS Wa ccm
huyu ni msomi mpumbavu hata kama mwalimu wangu. sijui kwann dr. bashiru amekuwa mpumbavu hivi tangu awe GS Wa ccm
Hizi PhD za CCM ndiyo zinatuletea ushindi bila kupingwa
Baba na si ni PhD holder
He is trying to brain wash those who have shallow mind to make them forget what happened during street chairmanship elections for 2019Binafsi nimeshindwa kumuelewa kabisa huyu bwana mkubwa wa CCM.
Maneno aliyo yaongea na elimu aliyo nayo sidhani kama vinaendana.
HOTUBA YA DR. BASHIRU KWA UFUPI
CCM inatoa salamu za mwaka mpya 2020, niwahakikishie watanzania kuwa tutaongoza siasa safi,ni mwaka wa kuheshimu maoni na uamuzi wa Umma, na tutashinda kwa kishindo kwa kuwa wananchi walihitaji huduma ya maji, elimu bure, afya na sasa wanapata huduma hizo,wananchi sio wanafiki.
CCM inapingana na udhalilishaji unaojitokeza ktk chaguzi, Wanawake kabla ya kugombea wanaitwa majembe, wakichukua fomu za kugombea wanaanza kuchimbwa na kupewa kashfa,wanajazwa hofu na wanaogopa, awamu hii CCM haitakubali wanawake wadhalilishwe na haki ni lazima itendeke kwa wote.
Wapo wanaolilia tume huru iwasaidie kupata ushindi, tume haipigi kura bali inasimamia uchaguzi, chama kisicho na wapigakura kisitegemee tume iwape ushindi, CCM imetafuta wapigakura kwa kutoa elimu bure, afya, maji na barabara, wao waseme wapiga kura wamewapataje.
Wenyeviti wa vijiji na mitaa, ninyi ni wajumbe wa vikao vya CCM kwenye Matawi na Kata, mtusaidie kupata wagombea bora, ikiwa mnaona kuna watu wanawazidi nguvu na kupendekeza wagombea wasio na sifa kwa maslahi yao, leteni taarifa haraka kusaidia Chama.
Ukivimbiwa unakua hujui kwamba unesema hakuna tume huru ya uchaguziBinafsi nimeshindwa kumuelewa kabisa huyu bwana mkubwa wa CCM.
Maneno aliyo yaongea na elimu aliyo nayo sidhani kama vinaendana.
HOTUBA YA DR. BASHIRU KWA UFUPI
CCM inatoa salamu za mwaka mpya 2020, niwahakikishie watanzania kuwa tutaongoza siasa safi,ni mwaka wa kuheshimu maoni na uamuzi wa Umma, na tutashinda kwa kishindo kwa kuwa wananchi walihitaji huduma ya maji, elimu bure, afya na sasa wanapata huduma hizo,wananchi sio wanafiki.
CCM inapingana na udhalilishaji unaojitokeza ktk chaguzi, Wanawake kabla ya kugombea wanaitwa majembe, wakichukua fomu za kugombea wanaanza kuchimbwa na kupewa kashfa,wanajazwa hofu na wanaogopa, awamu hii CCM haitakubali wanawake wadhalilishwe na haki ni lazima itendeke kwa wote.
Wapo wanaolilia tume huru iwasaidie kupata ushindi, tume haipigi kura bali inasimamia uchaguzi, chama kisicho na wapigakura kisitegemee tume iwape ushindi, CCM imetafuta wapigakura kwa kutoa elimu bure, afya, maji na barabara, wao waseme wapiga kura wamewapataje.
Wenyeviti wa vijiji na mitaa, ninyi ni wajumbe wa vikao vya CCM kwenye Matawi na Kata, mtusaidie kupata wagombea bora, ikiwa mnaona kuna watu wanawazidi nguvu na kupendekeza wagombea wasio na sifa kwa maslahi yao, leteni taarifa haraka kusaidia Chama.