Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: Wanaotegemea Tume Huru iwape ushindi wanajidanganya! Tume haipigi kura

Kuna mchangiaji mmoja kasema kuwa hawa watu wakisha kabidhiwa madaraka ndani ya chama basi sharti lao kuu ni kukabidhi weredi wao kwa wateuzi

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli kabisa mkuu.

Huwezi kutegemea kauli kama hiyo itolewe na mtu anayejiita Dr.

Nadhani ana ugonjwa wa ulevi wa madaraka pia!
 
Kumbe kwenye katiba mpya tulikuwa tunashindana?sikujua mkuu basi hongereni kwa ushindi
 
Hizi PhD za CCM ndiyo zinatuletea ushindi bila kupingwa
 
huyu ni msomi mpumbavu hata kama mwalimu wangu. sijui kwann dr. bashiru amekuwa mpumbavu hivi tangu awe GS Wa ccm
shida sio bashiru shida ni ccm hata wewe ukishakuwa ccm tutakushangaa kuwa umepatwa na nini. siku akitoka ccm atarudi kwenye ubora wake
 
Kuna comments zimenishangaza humu, jamani huyu jamaa hata alipokuwa UDSM hakuwa na ubora wowote both as an academic and political analyst. Alipokuwa huko UDSM nimemsikiliza sana especially alipokuwa akihojiwa au kuombwa kutoa maoni mbali mbali na BBC na DW, upeo wake ni mdogo, anazidiwa mbali na waandishi na wachambuzi ambao hawana hata degree mbili, na kama nilivyowahi kusema humu, huyu jamaa hana kabisa objectivity ya mwanataaluma. Ni dishonest na mnafiki.

Kama anajua tume huru haipigi kura, basi yeye na hicho chama chake na serikali waruhusu mchakato wa kuipata hiyo tume. Na sio tu tume na katiba mpya pia. Kama wame deliver na kuperform kiasi hicho, uwoga wa nini? Yamevuruga mpaka chaguzi za serikali za mitaa, eti yameshinda kwa kwa 99%. Siku hizi hata aibu hayana.
 
Under pressure Bashiru is singing his master's voice. He is sandwiched between the ruthless forces of oppression and tyranny.
 
He is trying to brain wash those who have shallow mind to make them forget what happened during street chairmanship elections for 2019

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukivimbiwa unakua hujui kwamba unesema hakuna tume huru ya uchaguzi
 
Ndugu yangu ,Kakurwa,Tume ya uchaguzi ambayo inachaguliwa na chama kimoja kuna mashaka kama yawezekana ku exercise impartiality wananchi wanaingia kwenye uchaguzi wakiwa na mashaka.Walio madarakani wanatamani kushida hata goli la mkono inaskitisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…