Dkt. Emmanuel Nchimbi, Mnyika na Tundu Lissu wapandishwa madhabahuni na Padri Dkt. Charles Kitima

Dkt. Emmanuel Nchimbi, Mnyika na Tundu Lissu wapandishwa madhabahuni na Padri Dkt. Charles Kitima

Mm ni chadema original kwa hotuba nzuri ya nchimbi nimeguswa sna na nchimbi.SIYO MNAFIKI AMEGUSWA SANA NA MATENDO YA UKATILI UNAOFANYWA NA CCM NA INAONEKANA NI GENGE NDOGO NDANI YA CHAMA NA NCHIMBI AMELIKUTA.Nchimbi roho ya mungu ipo ndani yako.KATAA UNAFIKI KATAA UTEKAJI HILO GENGE.UNAFAA KUWA KIONGOZ MKUBWA
Kupinga DHULMA hakuhitaji mtu awe kiongozi mkubwa....

Hata dikteta Mobutu hakuanza akiwa wabaya.....
 
Aman iwe nanyi wana wa MUNGU

Leo nikifatilia kongamano la ekrist takatifu nimemuona baba padre kitima akiwapandisha madhabahuni katibu mkuu wa CCM dk Emmanuel chimbi, katibu mkuu wa chadema John mnyika na makamu mwenyekiti wa chadema tundu lisu

Tuendelee kuliombea aman taifa letu dhidi ya watu wenye roho za kuliangamiza na kututenganisha

Watu muda wote wanawaza kuua kila asiye waunga mkono

Wanataka wapendwe lakini watanzani wamegoma kabisa kuwapenda

LONDON BOY

====
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Dk Charles Kitima amewaita mbele ya kongamano la tano la Ekaristi Takatifu, Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi na Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu pamoja na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika kwa ajili ya kusalimia waumini.

Kongamano hilo linafanyika Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam, leo Jumapili, Septemba 15, 2024.

Mbali nao, viongozi wengine wa kisiasa waliohudhuria ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko na Waziri wa Ujenzi, Innoncent Bashungwa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila na Spika mstaafu, Anne Makinda.
Pia maaskofu, mapadri, watawa wa kiume na kike na waumini wa kanisa hilo wamejitokeza kwa wingi kushiriki kongamano hilo lililofunguliwa Septemba 12, 2024
Nchimbi atafukuzwa CCM
 
Kila siku nasema tusiwaamini wanasiasa. Lisu na Nchimbi ni washkaji sana watatupiana maneno jukwaani kisha jioni wanakutana kunywa wine pamoja. Huwezi kuona Biden na Putin wammekaa pamoja.
Maandamano ya tarehe 23 yasiwe influenced na wanasiasa. Tuandamane sababu tumewachoka wanasiasa wote, Kule kenya Babu Odinga kawageuka Gen Z sasa hivi anakula Per diem za safari na President Rutto. Yani Chadema, ACT, CCM wote hawatatusaidia.
 

Wote wakatoliki safi hawa. Mungu azidi kuwaongoza ili mmoja wao aje kuwa kiongozi wa Taifa hili hapo baadaye. Tanzania ni yetu sote iwe chama tawala au upinzani. Ifike mahali tukemee na kuzika itikadi mbaya alizoleta yule DIKTETA mwenye asili ya Burundi tuliyemzika Chato mwaka 2021
IMG-20240915-WA0026.jpg
 
Yeye nchimbi ajiulize kwanini baba zake Amina Kambona;Gama;Kolimba na Kawawa hawakuwa na mambo haya yanatokea awamu ya 5 na sita .Kwanini wanazuia mawazo ya watu wengine wasijieleze?
 
Amani iwe nanyi wana wa MUNGU

Leo nikifatilia kongamano la Ekaristi takatifu nimemuona baba Padre Kitima akiwapandisha madhabahuni katibu mkuu wa CCM Dkt. Emmanuel Nchimbi, Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika na Makamu Nwenyekiti wa CHADEMA-Bara, Tundu Lissu.

Tuendelee kuliombea amani taifa letu dhidi ya watu wenye roho za kuliangamiza na kututenganisha.

Watu muda wote wanawaza kuua kila asiye waunga mkono

Wanataka wapendwe lakini watanzani wamegoma kabisa kuwapenda

LONDON BOY

====
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Dk Charles Kitima amewaita mbele ya kongamano la tano la Ekaristi Takatifu, Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi na Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu pamoja na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika kwa ajili ya kusalimia waumini.

Kongamano hilo linafanyika Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam, leo Jumapili, Septemba 15, 2024.

Mbali nao, viongozi wengine wa kisiasa waliohudhuria ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko na Waziri wa Ujenzi, Innoncent Bashungwa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila na Spika mstaafu, Anne Makinda.

Pia maaskofu, mapadri, watawa wa kiume na kike na waumini wa kanisa hilo wamejitokeza kwa wingi kushiriki kongamano hilo lililofunguliwa Septemba 12, 2024.


Pia soma: Maaskofu Katoliki: Tunu yetu ya amani nchini imeshambuliwa kutokana na matukio ya watu kutekwa na kuuawa ya hivi karibuni
Wangalifanyiwa waislam pasingelika humu. Hongera Tundu Lissu
 
Back
Top Bottom