promethus
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 1,164
- 1,901
Afukuzwe Kwa kosa lipi?Nchimbi atafukuzwa CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afukuzwe Kwa kosa lipi?Nchimbi atafukuzwa CCM
Mnyika ni MAUA SEMINARYNchimbi .......Uru seminary
Mnyika..........Sengerema seminary
Lissu...........Dunghunyi seminary
Kitima.......Dunghunyi seminary
Dr Mpango alikuwepo?Wote wakatoliki safi hawa. Mungu azidi kuwaongoza ili mmoja wao aje kuwa kiongozi wa Taifa hili hapo baadaye. Tanzania ni yetu sote iwe chama tawala au upinzani. Ifike mahali tukemee na kuzika itikadi mbaya alizoleta yule DIKTETA mwenye asili ya Burundi tuliyemzika Chato mwaka 2021
View attachment 3096395
View: https://youtu.be/qhdvQ6GJ_DU?si=t-6thUJNheF3vj8b
Ni jambo Jema sana , namuona Mnyika akiwa na furaha sana ,Tundu lissu na Tabasamu zito , Dkt Nchimbi pale waakiuthihirishia Umma kwamba kuna maisha nje ya Siasa na sisi sote ni ndugu .
SanaaaaKila goti lita pigwa
.Amani iwe nanyi wana wa MUNGU
Leo nikifatilia kongamano la Ekaristi takatifu nimemuona baba Padre Kitima akiwapandisha madhabahuni katibu mkuu wa CCM Dkt. Emmanuel Nchimbi, Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika na Makamu Nwenyekiti wa CHADEMA-Bara, Tundu Lissu.
Tuendelee kuliombea amani taifa letu dhidi ya watu wenye roho za kuliangamiza na kututenganisha.
Watu muda wote wanawaza kuua kila asiye waunga mkono
Wanataka wapendwe lakini watanzani wamegoma kabisa kuwapenda
LONDON BOY
====
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Dk Charles Kitima amewaita mbele ya kongamano la tano la Ekaristi Takatifu, Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi na Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu pamoja na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika kwa ajili ya kusalimia waumini.
Kongamano hilo linafanyika Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam, leo Jumapili, Septemba 15, 2024.
Mbali nao, viongozi wengine wa kisiasa waliohudhuria ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko na Waziri wa Ujenzi, Innoncent Bashungwa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila na Spika mstaafu, Anne Makinda.
Pia maaskofu, mapadri, watawa wa kiume na kike na waumini wa kanisa hilo wamejitokeza kwa wingi kushiriki kongamano hilo lililofunguliwa Septemba 12, 2024.
Pia soma: Maaskofu Katoliki: Tunu yetu ya amani nchini imeshambuliwa kutokana na matukio ya watu kutekwa na kuuawa ya hivi karibuni
Soma vizuri ili uelewe.Imekuaje wame kutana wote sehemu moja
Vyura viziwi hamuwezi kusikia seuse kuelewaYupo...
Tuko naye....
Kelele hizo haziwanufaishi....
nilidhani kongamano linawahusu Wakatoliki. Mbona baadhi ya walioitwa mbele sio wakatoliki au ni usanii?Amani iwe nanyi wana wa MUNGU
Leo nikifatilia kongamano la Ekaristi takatifu nimemuona baba Padre Kitima akiwapandisha madhabahuni katibu mkuu wa CCM Dkt. Emmanuel Nchimbi, Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika na Makamu Nwenyekiti wa CHADEMA-Bara, Tundu Lissu.
Tuendelee kuliombea amani taifa letu dhidi ya watu wenye roho za kuliangamiza na kututenganisha.
Watu muda wote wanawaza kuua kila asiye waunga mkono
Wanataka wapendwe lakini watanzani wamegoma kabisa kuwapenda
LONDON BOY
====
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Dk Charles Kitima amewaita mbele ya kongamano la tano la Ekaristi Takatifu, Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi na Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu pamoja na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika kwa ajili ya kusalimia waumini.
Kongamano hilo linafanyika Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam, leo Jumapili, Septemba 15, 2024.
Mbali nao, viongozi wengine wa kisiasa waliohudhuria ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko na Waziri wa Ujenzi, Innoncent Bashungwa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila na Spika mstaafu, Anne Makinda.
Pia maaskofu, mapadri, watawa wa kiume na kike na waumini wa kanisa hilo wamejitokeza kwa wingi kushiriki kongamano hilo lililofunguliwa Septemba 12, 2024.
Pia soma: Maaskofu Katoliki: Tunu yetu ya amani nchini imeshambuliwa kutokana na matukio ya watu kutekwa na kuuawa ya hivi karibuni
Huyo ni MrundiDr Mpango alikuwepo?
Picha ina majibu yoteKatibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Dk Charles Kitima amewaita mbele ya kongamano la tano la Ekaristi Takatifu, Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi na Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu pamoja na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika kwa ajili ya kusalimia waumini.
Define Catholic:- : In a broader sense, "catholic" (with a lowercase "c") means "universal" or "comprehensive." This reflects the original meaning of the word in early Christian theology, emphasizing the universality of the Christian faithnilidhani kongamano linawahusu Wakatoliki. Mbona baadhi ya walioitwa mbele sio wakatoliki au ni usanii?
Kasoro goti la BICHWA KOMWEKila goti lita pigwa
Mm ni chadema original kwa hotuba nzuri ya nchimbi nimeguswa sna na nchimbi.SIYO MNAFIKI AMEGUSWA SANA NA MATENDO YA UKATILI UNAOFANYWA NA CCM NA INAONEKANA NI GENGE NDOGO NDANI YA CHAMA NA NCHIMBI AMELIKUTA.Nchimbi roho ya mungu ipo ndani yako.KATAA UNAFIKI KATAA UTEKAJI HILO GENGE.UNAFAA KUWA KIONGOZ MKUBWA