Dkt. Emmanuel Nchimbi, Mnyika na Tundu Lissu wapandishwa madhabahuni na Padri Dkt. Charles Kitima

Dkt. Emmanuel Nchimbi, Mnyika na Tundu Lissu wapandishwa madhabahuni na Padri Dkt. Charles Kitima

..Shekhe Issa Ponda pia alikuwa ktk kampeni za Lissu.
Baba Askofu ni mwanasiasa wa upinzani anayetumia lugha za kiungwana lakini moyoni mwake haipendi kabisa CCM.

Ndiye aliyekuwa kinara wa kusambaza waraka kuhakikisha uwekezaji wa DPW unapingwa makanisani, tofauti na Sheikh Ponda aliyepokea uwekezaji kwa akili chanya.
 
Baba Askofu ni mwanasiasa wa upinzani anayetumia lugha za kiungwana lakini moyoni mwake haipendi kabisa CCM.

Ndiye aliyekuwa kinara wa kusambaza waraka kuhakikisha uwekezaji wa DPW unapingwa makanisani, tofauti na Sheikh Ponda aliyepokea uwekezaji kwa akili chanya.

..Ponda na Kitima hawapendi dhuluma.
 
Amani iwe nanyi wana wa MUNGU

Leo nikifatilia kongamano la Ekaristi takatifu nimemuona baba Padre Kitima akiwapandisha madhabahuni katibu mkuu wa CCM Dkt. Emmanuel Nchimbi, Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika na Makamu Nwenyekiti wa CHADEMA-Bara, Tundu Lissu.

Tuendelee kuliombea amani taifa letu dhidi ya watu wenye roho za kuliangamiza na kututenganisha.

Watu muda wote wanawaza kuua kila asiye waunga mkono

Wanataka wapendwe lakini watanzani wamegoma kabisa kuwapenda

LONDON BOY

====
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Dk Charles Kitima amewaita mbele ya kongamano la tano la Ekaristi Takatifu, Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi na Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu pamoja na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika kwa ajili ya kusalimia waumini.

Kongamano hilo linafanyika Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam, leo Jumapili, Septemba 15, 2024.

Mbali nao, viongozi wengine wa kisiasa waliohudhuria ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko na Waziri wa Ujenzi, Innoncent Bashungwa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila na Spika mstaafu, Anne Makinda.

Pia maaskofu, mapadri, watawa wa kiume na kike na waumini wa kanisa hilo wamejitokeza kwa wingi kushiriki kongamano hilo lililofunguliwa Septemba 12, 2024.


Pia soma: Maaskofu Katoliki: Tunu yetu ya amani nchini imeshambuliwa kutokana na matukio ya watu kutekwa na kuuawa ya hivi karibuni
Akina Kitima na Kanisa Katoliki kwa Ujumla, nawaombeni msaidie Mama Samia asisimame mwaka 2025.Ataliangamiza Taifa hili akipewa mitano mingine.

Uwezo mnao.Mtakuwa mmetutendea haki kabisa Watanzania.
 
Mm ni chadema original kwa hotuba nzuri ya nchimbi nimeguswa sna na nchimbi.SIYO MNAFIKI AMEGUSWA SANA NA MATENDO YA UKATILI UNAOFANYWA NA CCM NA INAONEKANA NI GENGE NDOGO NDANI YA CHAMA NA NCHIMBI AMELIKUTA.Nchimbi roho ya mungu ipo ndani yako.KATAA UNAFIKI KATAA UTEKAJI HILO GENGE.UNAFAA KUWA KIONGOZ MKUBWA
SAMIA MUST GO, SEPTEMBER 23 TO REMEMBER
 
Amani iwe nanyi wana wa MUNGU

Leo nikifatilia kongamano la Ekaristi takatifu nimemuona baba Padre Kitima akiwapandisha madhabahuni katibu mkuu wa CCM Dkt. Emmanuel Nchimbi, Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika na Makamu Nwenyekiti wa CHADEMA-Bara, Tundu Lissu.

Tuendelee kuliombea amani taifa letu dhidi ya watu wenye roho za kuliangamiza na kututenganisha.

Watu muda wote wanawaza kuua kila asiye waunga mkono

Wanataka wapendwe lakini watanzani wamegoma kabisa kuwapenda

LONDON BOY

====
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Dk Charles Kitima amewaita mbele ya kongamano la tano la Ekaristi Takatifu, Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi na Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu pamoja na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika kwa ajili ya kusalimia waumini.

Kongamano hilo linafanyika Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam, leo Jumapili, Septemba 15, 2024.

Mbali nao, viongozi wengine wa kisiasa waliohudhuria ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko na Waziri wa Ujenzi, Innoncent Bashungwa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila na Spika mstaafu, Anne Makinda.

Pia maaskofu, mapadri, watawa wa kiume na kike na waumini wa kanisa hilo wamejitokeza kwa wingi kushiriki kongamano hilo lililofunguliwa Septemba 12, 2024.


Pia soma: Maaskofu Katoliki: Tunu yetu ya amani nchini imeshambuliwa kutokana na matukio ya watu kutekwa na kuuawa ya hivi karibuni

Demokrasia ina gharama.
 
Kanisa limezidiwa nguvu. Watu wanatekwa na kuuwawa viongozi wote kimya...
Wewe labda una chuki zako binafsi. Hujasikia Tamko la Waraka wa TEC Leo wakilaani na kuitaka Serikali kukomesha mambo haya na walioshindwa kudhibiti hali hii wakishauriwa kujipima kama hizo nafasi zinawatosha?
 
Back
Top Bottom