Dkt. Emmanuel Nchimbi, Mnyika na Tundu Lissu wapandishwa madhabahuni na Padri Dkt. Charles Kitima

..Shekhe Issa Ponda pia alikuwa ktk kampeni za Lissu.
Baba Askofu ni mwanasiasa wa upinzani anayetumia lugha za kiungwana lakini moyoni mwake haipendi kabisa CCM.

Ndiye aliyekuwa kinara wa kusambaza waraka kuhakikisha uwekezaji wa DPW unapingwa makanisani, tofauti na Sheikh Ponda aliyepokea uwekezaji kwa akili chanya.
 

..Ponda na Kitima hawapendi dhuluma.
 
Akina Kitima na Kanisa Katoliki kwa Ujumla, nawaombeni msaidie Mama Samia asisimame mwaka 2025.Ataliangamiza Taifa hili akipewa mitano mingine.

Uwezo mnao.Mtakuwa mmetutendea haki kabisa Watanzania.
 
SAMIA MUST GO, SEPTEMBER 23 TO REMEMBER
 

Demokrasia ina gharama.
 
Kanisa limezidiwa nguvu. Watu wanatekwa na kuuwawa viongozi wote kimya...
Wewe labda una chuki zako binafsi. Hujasikia Tamko la Waraka wa TEC Leo wakilaani na kuitaka Serikali kukomesha mambo haya na walioshindwa kudhibiti hali hii wakishauriwa kujipima kama hizo nafasi zinawatosha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…