Dkt. Mwakyembe Kuongoza Uchunguzi Malalamiko ya Mtihani wa Law School

VIjana hamtaki kupikwa mkapikika jmn
 
Kwa hyo hUyo mhitimu hamna imani naye??, Naye si anajua msoto wa LST
 
Muendelezo wa siasa katika mambo ya kitaalam.

Waziri yule yule aliyezua taharuki Ngorongoro ndio huyu huyu anayetaka kuimaliza tasnia ya sheria hapa nchini.

Kwaheri taaluma karibu siasa.
 
Na hili ombwe la vyuo vingne kutoa degree ya Sheria Miaka mitatu, vingne Miaka minne, ni vizur hili ombwe liondolewe, iwe Miaka SAWA vyuo vyote. Mbna Kwenye digrii zingne hili ombwe hatulion?Kamati waliangalie na hili
 
Mkuu Aikambee; umechambua vizuri sana! [emoji120]
 
Nakubaliana nawe. Kibatala aliwahi kusema hivi, namnukuu, "Dr. Mwakyembe ni non practising Lawyer", mwisho wa kunukuu.
 
Kuna wanafunzi form six mwaka wa Jana,hawawezi kuandika hata sentensi moja ya kiingereza eti nao walifaulu.Janga linaanzia NECTA.
 
Barikiwa mtu wa Mungu. Uko sawia kwa 100%
 
Mleta uzi inaoneka haujawahi kuoita elimu ya juu, ndio maana unashadadi. Na kushangilia
 
Ni ujinga tu kuamini kufaulu wachache ndio kigezo cha kufaulu kihalali.
 
Hapa una maaana Gani. Hyo mwamba hastahili kusomea uanasheria au?? Au kufeli Kwake ni kwasababu ya kuwa mwl shule ya msing
Issue hapa siyo kufundisha shule ya msingi bali ni ile hali ya kustruggle kwa miaka 7 anatafuta digrii ya sheria halafu eti aje kuwa na ufaulu LST itakuwa ni kichekesho
 
Msingi mkubwa wa tatizo ni siasa kuwa ndio kuwa kipaumbele katika nchi hii kwa kwa ccm kuwekeza kwenye ujinga.

Sio huko tu kwenye matatizo, fani zoooote hali ni mbaya. MD anasoma miaka mitano na mmoja wa intership jumla miaka 6, akienda kazini hata kupasua jipu hawezi. Nenda kwa mainjinia hali ni hiyo, nenda ualimu hali ni hiyo.
Hilo ni tatizo la kitaifa kwa fani zote.
Matokeo yake hata profesa anaenda kugombea u diwani, u wenyekiti wa ccm wa wilaya, ubunge, n.k

Hakuna msingi mzuri kwenye shule za msingi kama neno lenyewe linavyomaanisha. Mtoto anachaguliwa kujiunga kidato cha kwanza hata jina lake kuandika ni mtihani, huko mbele ataweza nini?

Bado tuna safari ndefu hadi tutakapojitambua.
 
Kwa hyo hUyo mhitimu hamna imani naye??, Naye si anajua msoto wa LST
Mhitimu siyo mwanafunzi kimantiki hawezi kuwakilisha kundi la wanafunzi. Sijasema hafai kuwemo kwenye jopo bali si mwanafunzi.
 
Hapa una maaana Gani. Hyo mwamba hastahili kusomea uanasheria au?? Au kufeli Kwake ni kwasababu ya kuwa mwl shule ya msing
Ana maana kwamba shule ya huyo mtu ni ya kuungaunga mno, hivyo siyo rahisi kufanya vizuri hapo Law school ambapo vipimo vyake vimekaza sana.

Sir robby
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…