Dkt. Mwakyembe Kuongoza Uchunguzi Malalamiko ya Mtihani wa Law School

Dkt. Mwakyembe Kuongoza Uchunguzi Malalamiko ya Mtihani wa Law School

Nashangaa serikali kuunda kamati ya watu saba kuchunguza matokeo ya Law school of Tanzania.

Hichi kizazi cha malaptop huku kichwani hamna kitu?

Angalia hata wakihitimu wanavyokuwa weupe vichwani. Sasa wanafeli kihalali wanabaki kulalama.

Huu ni upuuzi
Kuna Mwanachuo alimaliza Kidato cha 4 Mwaka 1990 akaenda Chuo cha Ualimu akafundisha Shule ya Msingi Mwaka 2000 akaanza kusoma Sheria Tumaini Dar amehangaika Mwaka 2016 akapata degree ya Sheria akaendele kufundisha Shule ya Msingi Mwaka jana 2021 akajiunga na LAW SCHOOL amekuwa ni Miongoni mwa wale 200 WALIODISCO na Yeye analalamika
je kwa Elimu hiyo na Degree hiyo ulitarajia AFAULI LAW SCHOOL?
VYUO VYETU viache kujali ADA tu kuliko UWEZO wa WANAFUNZI
 
Kuna Mwanachuo alimaliza Kidato cha 4 Mwaka 1990 akaenda Chuo cha Ualimu akafundisha Shule ya Msingi Mwaka 2000 akaanza kusoma Sheria Tumaini Dar amehangaika Mwaka 2016 akapata degree ya Sheria akaendele kufundisha Shule ya Msingi Mwaka jana 2021 akajiunga na LAW SCHOOL amekuwa ni Miongoni mwa wale 200 WALIODISCO na Yeye analalamika
je kwa Elimu hiyo na Degree hiyo ulitarajia AFAULI LAW SCHOOL?
VYUO VYETU viache kujali ADA tu kuliko UWEZO wa WANAFUNZI
Iq ndogo
 
Mwaka 2012 Wanafunzi nchi nzima walifeli kuanzia ngazi ya msingi hadi sekondari ,hatukuona kamati zikiundwa ,walimu na watumishi wote katika nchi tajiri kama hii wanalalamika mishahara,nyumba wanazoishi,wanadharauliwa kama wamefelishwa hizo ni ishara kwamba walimu wamegoma hivyo wapewe stahiki zao ,wabunge,mawaziri,Rais hatusikii vilio vya posho ama stahiki zingine ,nashauri ili wanasiasa hasa CCM waamke ni vizuri walimu wafelisheni Kwa kiwango kikubwa maana wakiandamana wanapigwa vilungu
 
Nashangaa serikali kuunda kamati ya watu saba kuchunguza matokeo ya Law school of Tanzania.

Hichi kizazi cha malaptop huku kichwani hamna kitu?

Angalia hata wakihitimu wanavyokuwa weupe vichwani. Sasa wanafeli kihalali wanabaki kulalama.

Huu ni upuuzi
Hawa walimaliza form four mwaka gani?
Ile mass failure katika elimu ya sekondari ndio inajionyesha now.
Takwimu hazidanganyi.
Hawa ni wale wa form four 2011, 2012, 2013, 2014, 2015 ambao walikuwa wakifeli kama kufa kwa kuku wa kideri.
 
Nashangaa serikali kuunda kamati ya watu saba kuchunguza matokeo ya Law school of Tanzania.

Hichi kizazi cha malaptop huku kichwani hamna kitu?

Angalia hata wakihitimu wanavyokuwa weupe vichwani. Sasa wanafeli kihalali wanabaki kulalama.

Huu ni upuuzi
SABABU KUU ZA TATIZO:

1. Vyakula hovyo/vya kisasa, Watoto hawanyonyeshwi zaidi ya miaka miwili ili kukomaza afya ya ubongo na kinga + makuku mataira + miyai yao + mipiza, mibaga, michipsi mfano ubongo wa samaki + viini vya mahindi yasiyokobolewa + ufuta + parachichi + ndizi hupelekea kujenga akili nzuri sana kwa kumbukumbu na uelewa mpana.

2. Maadili mabovu tokana na malezi hovyo ya house maids sababu wazazi wako bize kutafuta pesa 24 hrs kwa wiki tokana na motives ya "HAKI SAWA" hivyo hupelekea wazazi kutojua Watoto wameshindaje kiafya, kimichezo na huenda hata wamenyanyaswa kijinsi (kubakwa + kulawitiwa + vitisho vya uhai).

3. Utandawazi, nyimbo hazina maadili kusikiliza hata kuzitazama videos zake + simu janja kuachiwa watoto + makundi mabaya ya urafiki + mazingira ya malezi mabovu.

4. Malezi ya mzazi upande mmoja (single mothers & fathers) mtoto hukosa kujiamini kisaikolojia kwa kutopata upendo wa wazazi wote wawili akijilinganisha na Watoto wenzake wa malezi ya pande 2 + sumu toka kwa single mothers.

5. Uzungu mwingi, watoto waliozaliwa miaka ya 60 - 89 wamestaarabika sana sababu ya "sticks and carrots caring systems" yani Mtoto akikosea anadhibiwa papo hapo na akifanya vizuri anatunukiwa zawadi/pongezi, siku hizi huu mfumo tumebakiwa nao wahenga pekee.

6. Kukosa uchaji wa Mungu(nguvu za kiroho) Bila maombi ya kiroho na nguvu za Mungu malezi ya watoto ni changamoto kubwa sana kwa wazazi, ijulikane shetani yupo kazini 24 hrs akitumia mawakala wake(Watu wasiomcha Mungu) kurushia Watoto mapepo wachafu.

Ndiyomaana unawezakuta Mtoto yuko vizuri sana shuleni kiakili ghafla akakataa shule hataki kabisa kusoma, au akapofuka macho kimiujiza.

7. Kukosekana kwa Mazoezi mashuleni, mazoezi huchangamsha ubongo kuwa hai kiutendaji wa akili wakati wowote, mfano enzi zetu tulikuwa tunakimbia mchaka mchaka shuleni na tukirudi home tukishamaliza kazi ni michezo lakini muda wa twisheni uko pale pale.

MAISHA NI WEWE NA KUPANGA NI KUCHAGUA.
 
Kuna Mwanachuo alimaliza Kidato cha 4 Mwaka 1990 akaenda Chuo cha Ualimu akafundisha Shule ya Msingi Mwaka 2000 akaanza kusoma Sheria Tumaini Dar amehangaika Mwaka 2016 akapata degree ya Sheria akaendele kufundisha Shule ya Msingi Mwaka jana 2021 akajiunga na LAW SCHOOL amekuwa ni Miongoni mwa wale 200 WALIODISCO na Yeye analalamika
je kwa Elimu hiyo na Degree hiyo ulitarajia AFAULI LAW SCHOOL?
VYUO VYETU viache kujali ADA tu kuliko UWEZO wa WANAFUNZI
Hapa una maaana Gani. Hyo mwamba hastahili kusomea uanasheria au?? Au kufeli Kwake ni kwasababu ya kuwa mwl shule ya msing
 
Kuandika dodoso za sheria wanatumia quillbot.com we unategemea nini...wanategemea grammarly nk...madogo wanashinda kidimbwi, wanakula kubeli hata kuandika hati ya mashtaka hawawezi, kutofautisha 'l' na 'r' peke yake ni mtihani....

Miaka kama mitatu iliyopita wakati wa mahafali pale Law School Jaji Mkuu akiwa Mgeni Rasmi wa Sherehe ya Mahafali aliwachana live wahitimu akisema "na huu ndio ukweli lazima tuuseme, wengi wenu bado lugha hasa Kiingereza kinawasumbua..."

Sasa wewe unatarajia nini kama Advocate tarajali hajui Kiingereza atawezaje kupambana na Mitihani na Msamati wa Sheria....Kamati naamini itabaini uzembe upo kwa wanafunzi wenyewe wasome waache vizingizio

Umepatia!! Wanachoshindwa ni kuandika maandiko kwa ufasaha katika lugha. Kwa ujumla hawajui Kiingereza. Tumeamua kuweka kiingereza nafasi ya pili lakini kitaaluma kiingereza ni nafasi ya kwanza kwa sababu hata mafunzo yanatolewa Kiingereza.

Nimekuwa nikimfahamu mtu anajiita lawyer mtarajiwa anasoma kwenye chuo kimoja - anachojua ni kuzungumza kiswahili na kutupia maneno ya kilatini. Akisema maneno kama 10 ya kiingereza basi huwezi kumwelewa kiasi anajishtukia hata yeye!! Mambo madogo madogo hawezi hata kuyaelewa (achilia mbali kuyaeleza) kama mwanasheria. Anasikika kama bush lawyer!!

Tusipuuze lugha ya Kiingereza. Hasa kama hatujafanikiwa kuondoa mafunzo ya kitaaluma kutoka lugha hiyo.
 
IMG_6493.jpg

Law school ugumu wake sio Tanzania tuu
 
Nazani Kwenye ayo matokeo wewe ungekuwa na disco
 
Kuandika dodoso za sheria wanatumia quillbot.com we unategemea nini...wanategemea grammarly nk...madogo wanashinda kidimbwi, wanakula kubeli hata kuandika hati ya mashtaka hawawezi, kutofautisha 'l' na 'r' peke yake ni mtihani....

Miaka kama mitatu iliyopita wakati wa mahafali pale Law School Jaji Mkuu akiwa Mgeni Rasmi wa Sherehe ya Mahafali aliwachana live wahitimu akisema "na huu ndio ukweli lazima tuuseme, wengi wenu bado lugha hasa Kiingereza kinawasumbua..."

Sasa wewe unatarajia nini kama Advocate tarajali hajui Kiingereza atawezaje kupambana na Mitihani na Msamati wa Sheria....Kamati naamini itabaini uzembe upo kwa wanafunzi wenyewe wasome waache vizingizio
Hatari sana
 
SABABU KUU ZA TATIZO:

1. Vyakula hovyo/vya kisasa, Watoto hawanyonyeshwi zaidi ya miaka miwili ili kukomaza afya ya ubongo na kinga + makuku mataira + miyai yao + mipiza, mibaga, michipsi mfano ubongo wa samaki + viini vya mahindi yasiyokobolewa + ufuta + parachichi + ndizi hupelekea kujenga akili nzuri sana kwa kumbukumbu na uelewa mpana.

2. Maadili mabovu tokana na malezi hovyo ya house maids sababu wazazi wako bize kutafuta pesa siku 6/7 kwa wiki tokana na motives ya "HAKI SAWA" hivyo hupelekea wazazi kutojua Watoto wameshindaje kiafya, kimichezo na huenda hata wamenyanyaswa kijinsi (kubakwa + kulawitiwa + vitisho vya uhai).

3. Utandawazi, nyimbo hazina maadili kusikiliza hata kuzitazama videos zake + simu janja kuachiwa watoto + makundi mabaya ya urafiki + mazingira ya malezi mabovu.

4. Malezi ya mzazi upande mmoja (single mothers & fathers) mtoto hukosa kujiamini kisaikolojia kwa kutopata upendo wa wazazi wote wawili akijilinganisha na Watoto wenzake wa malezi ya pande 2 + sumu toka kwa single mothers.

5. Uzungu mwingi, watoto waliozaliwa miaka ya 60 - 89 wamestaarabika sana sababu ya "sticks and carrots caring systems" yani Mtoto akikosea anadhibiwa papo hapo na akifanya vizuri anatunukiwa zawadi/pongezi, siku hizi huu mfumo tumebakiwa nao wahenga pekee.

6. Kukosa uchaji wa Mungu(nguvu za kiroho) Bila maombi ya kiroho na nguvu za Mungu malezi ya watoto ni changamoto kubwa sana kwa wazazi, ijulikane shetani yupo kazini 24 hrs akitumia mawakala wake(Watu wasiomcha Mungu) kurushia Watoto mapepo wachafu.

Ndiyomaana unawezakuta Mtoto yuko vizuri sana shuleni kiakili ghafla akakataa shule hataki kabisa kusoma, au akapofuka macho kimiujiza.

7. Kukosekana kwa Mazoezi mashuleni, mazoezi huchangamsha ubongo kuwa hai kiutendaji wa akili wakati wowote, mfano enzi zetu tulikuwa tunakimbia mchaka mchaka shuleni na tukirudi home tukishamaliza kazi ni michezo lakini muda wa twisheni uko pale pale.

MAISHA NI WEWE NA KUPANGA NI KUCHAGUA.
Mkuu, mbona haya yote uliyoyaandika hapa yanafanyika huko Ulaya na Marekani lakini hao watu wapo mbali sana kulinganisha na sisi. Unadhani tatizo ni lipi hapa?
 
Umepatia!! Wanachoshindwa ni kuandika maandiko kwa ufasaha katika lugha. Kwa ujumla hawajui Kiingereza. Tumeamua kuweka kiingereza nafasi ya pili lakini kitaaluma kiingereza ni nafasi ya kwanza kwa sababu hata mafunzo yanatolewa Kiingereza.

Nimekuwa nikimfahamu mtu anajiita lawyer anasoma kwenye chuo kimoja - anachojua ni kuzungumza kiswahili na kutupia maneno ya kilatini. Akisema maneno kama 10 ya kiingereza basi huwezi kumwelewa kiasi anajishtukia hata yeye!! Mambo madogo madogo hawezi hata kuyaelewa (achilia mbali kuyaeleza) kama mwanasheria. Anasikika kama bush lawyer!!

Tusipuuze lugha ya Kiingereza. Hasa kama hatujafanikiwa kuondoa mafunzo ya kitaalumu kutoka lugha hiyo.
Safi sana mkuu. Lakini kujifunza kiingereza kwa mtu aliyetokea shule ya serikali inahitaji kujituma si mchezo ndugu yangu.
 
6. Kukosa uchaji wa Mungu(nguvu za kiroho) Bila maombi ya kiroho na nguvu za Mungu malezi ya watoto ni changamoto kubwa sana kwa wazazi, ijulikane shetani yupo kazini 24 hrs akitumia mawakala wake(Watu wasiomcha Mungu) kurushia Watoto mapepo wachafu.

Ndiyomaana unawezakuta Mtoto yuko vizuri sana shuleni kiakili ghafla akakataa shule hataki kabisa kusoma, au akapofuka macho kimiujiza.
😆😆😆😆
 
Mwaka 2012 Wanafunzi nchi nzima walifeli kuanzia ngazi ya msingi hadi sekondari ,hatukuona kamati zikiundwa ,walimu na watumishi wote katika nchi tajiri kama hii wanalalamika mishahara,nyumba wanazoishi,wanadharauliwa kama wamefelishwa hizo ni ishara kwamba walimu wamegoma hivyo wapewe stahiki zao ,wabunge,mawaziri,Rais hatusikii vilio vya posho ama stahiki zingine ,nashauri ili wanasiasa hasa CCM waamke ni vizuri walimu wafelisheni Kwa kiwango kikubwa maana wakiandamana wanapigwa vilungu
Kila kitu kimefeli nchi hii kwann time haziundwi huko kwingine?
 
Safi sana mkuu. Lakini kujifunza kiingereza kwa mtu aliyetokea shule ya serikali inahitaji kujituma si mchezo ndugu yangu.
Yaani kiingereza inazidi kuwa changamoto Tz...si unaona hata mikutano inayohusisha wadau na watu toka nje siku hizi inalazimishwa kiswahili....hata juzi naona walitaka mlazimisha Rais Ruto eti kuzungumza kiswahili... matokeo yake hata yule 'mkalimani' Ruto akamstukia asimtafsirie kwenye kiswahili asije potosha..... hahahahaaa...kiingereza ni changamoto Tz...
 
Umepatia!! Wanachoshindwa ni kuandika maandiko kwa ufasaha katika lugha. Kwa ujumla hawajui Kiingereza. Tumeamua kuweka kiingereza nafasi ya pili lakini kitaaluma kiingereza ni nafasi ya kwanza kwa sababu hata mafunzo yanatolewa Kiingereza.

Nimekuwa nikimfahamu mtu anajiita lawyer anasoma kwenye chuo kimoja - anachojua ni kuzungumza kiswahili na kutupia maneno ya kilatini. Akisema maneno kama 10 ya kiingereza basi huwezi kumwelewa kiasi anajishtukia hata yeye!! Mambo madogo madogo hawezi hata kuyaelewa (achilia mbali kuyaeleza) kama mwanasheria. Anasikika kama bush lawyer!!

Tusipuuze lugha ya Kiingereza. Hasa kama hatujafanikiwa kuondoa mafunzo ya kitaalumu kutoka lugha hiyo.

Hili suala la kiingereza kwa shule zetu kuanzia msingi hadi chuo kikuu ni tatizo. Lazima tukubali kiingereza kiwe lugha ya kufundishia kuanzia elimu ya awali hadi chuo kikuu.
 
Back
Top Bottom