Hilo bunge sio la wananchi, hivyo hawaoni hatari kutokujadili wizi wa fedha zetu. Tusiopoandamana na kuhakikisha hayo majizi ya kura hayaingii humo bungeni, wataendelea kutuona mafala tu.
Bungee mnabwabwaja sio la wananchi, ila mkwanja wa ruzuku ya kuendeshea chama chenu hamsusi, mnanya Kwa nguvu kama vile manila anavyonyakua boli. Mnavhekesha kweli.
 
Rais ilibidi ang'ooke kmmmk
 
Hilo bunge sio la wananchi, hivyo hawaoni hatari kutokujadili wizi wa fedha zetu. Tusiopoandamana na kuhakikisha hayo majizi ya kura hayaingii humo bungeni, wataendelea kutuona mafala tu.
Mapenzi yako na wajinga wenzako wa Ufipa hayaondoi ukweli.
 

Kaona uongo mwingi.
 
Weee na nawewe tuliza kijambio , ruzuku inahusiana nn na kinachoendelea bungeni ??? Mbona unataka tukuone mpumbavu ???

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Si mnabwabwaja eti nibunge la hovyo na wakati bungee hilohilo ndio linalopitusha bajeti ya ruzuku ya chama chenu. Ebu wanachadema pongezeni bungee hili ili lipitishe bajeti nzuri na nyie ruzuku iwe nzuriii zaidii
 
duuuuh unamatusi makubwa makubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…