tuache uongo hajaoiga marufuku ameelezea utaratibu ulivyo kwa mujibu wa kanuni za bunge
 
Reactions: Tui
Spika Tulia anapaswa kuadhibiwa kwa kutokuona umuhimu wa kujidali ripoti hii hata kwa dharura.
Naelewa ilipaswa kamati za bunge ziipitie lkn kutoa mwanya huu mafisadi watapoteza ushahidi.

Wana Mbeya watusaidie kumwadhibu 2025
Sugu atapata hoja ya kumtoa huyu mtetea ufisadi
 
HUWEZI endesha kikao cha bunge bila utaratibu
Muda wa BAJETI wakianza kuchambua ripoti ya CAG hiyo bajeti itajadiliwa lini!?

Ndio nikasema hivi, mnajadili bajeti kwenda kuibiwa?. Yani baadala msolve suala la wizi kwenye bajeti, nyie mnahangaika kupitisha bajeti ili ikaibiwe tena. Ni common reasoning tu, tuache mambo ya procedure tuangalie je ni haki kupitisha bajeti bila kushughulikia wizi?. In short bunge lipo kutetea serikali na mafisadi.
 
Kila jambo na muda wake kwa mpango wake
Kama vile wewe usivyoweza kuvaa suruali mabegani na shirt mapajani umwache Tulia asimamie kikao cha bajeti ikifikia wasaa wa kujadili report itajadiliwa

Hiyo ni gia ya kukimbia uajibikaji. Hapo ikifika mwezi wa kumi na moja watadai mambo yote yameshashughulikiwa. Bunge la kijinga likiongozwa na spika kilaza na mjinga. Shenzi kabisa
 

Hili bunge halikutakiwa kuwepo. Wamejificha kwenye ushoga ili kutuhadaa. Kumbe bunge lenyewe limejaa mashoga.
 
Mkutano wa 11 (huu unaoendelea sasa) wa bunge ni mkutano wa bajeti.

Kwani pesa iliyoliwa siyo ya bajeti iliyopita?. Kwanini wasijadili pesa zilizopibiwa kwenye bajeti iliyopita mpaka mwezi wa kumi na moja ili wafiche ushahidi. Tanzania bila bunge la mashoga inawezekana.
 
Basi endeleeni kupiga kelele, mnajitekenya wenyewe kwa kukosa maarifa.

Maarifa gani?. Ushoga wameruhusiwa wameujadili ila ripoti ya wizi wa pesa wameutupa mwezi wa kumi na moja, kweli wananchi hatuna bunge, bali rubber stamp ya mafisadi.
 
Hilo bunge sio la wananchi, hivyo hawaoni hatari kutokujadili wizi wa fedha zetu. Tusiopoandamana na kuhakikisha hayo majizi ya kura hayaingii humo bungeni, wataendelea kutuona mafala tu.

Wapinzani watumie hiyo gap kuitisha maandamano bungeni dhidi ya bunge. Hata wakikatazwa ujumbe utafika.
 
Huo ni utaratibu mmbovu mno ambao auna tija na sidhani kama upo kisheria (sheria inasema CAG anafanya kazi kwa niaba ya bunge, lakini bunge ndio linajiamulia muda wa kujadili), na muda wanaojipangia unalea uzembe.

Binafsi kinachonishangaza inakuwaje maamuzi mengine hasa (ya udanganyifu wa makusudi kwa malengo ya ubadhirifu) na yenyewe yasubiri mpaka bunge lihoji, sasa nani mtaalamu CAG au hao wabunge wa kwenye kamati ambao ata ukiwauliza IAS ni kitu gani awawezi kukuelezea.

Na hata baadhi ya sheria au taratibu tulizojiwekea ni kinyume na regulations za IAASB kwa mtantiki za faida ya kazi za auditing kwenye shirika lenyewe ku adapt good practices haraka au wenye mali kufanya maamuzi sahihi yenye tija kuokoa hasara.
 
Kuna yale huwa wanatumia hati ya dharura au ni ya kupongeza ndiyo huwa yanapata nafasi hiyo? Muda mwingine unajikuta tu unaichukia nchi yako
 

Huyo spika hafai, issue ipo hot baadala muishughulikie eti tusibirie mwisho wa mwaka. Hicho kimama kinatakiwa kiwashwe makofi ili ukilaza ukitoke.
 
Mimi Nina imani kubwa sana na spika, kama kweli amekataza kuna sababu ya umuhimu
Sababu gani?. Unajadili bajeti lakini pesa zilizoibwa kwenye bajeti iliyopita msubiri mwezi wa kumi na moja. Kwa kifupi bunge linapitisha bajeti bila kuzingatia wizi wa kwenye bajeti hiyo na kuwapitishia bajeti mafisadi wakaipige vizuri.
 

Endeleeni kutetea status quo kwa ajili ya vyeo. Maana mnapenda vyeo mpaka uongo mnauita ukweli. Mbona ushoga wameujadili mpaka wakatoa na maazimio serikali ilete mabadiliko ya sheria?.

Ila ripoti ndio imesogezwa mwezi wa kumi na moja, wakijua ushahidi utakuwa umefichwa na hata huo mwezi wa kumi na moja hakuna kitakacho jadiliwa.


Spika ni remote controlled hivyo anafuata atakavyoambiwa na mafisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…