Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,101
Yaani ndugu yangu, Kwa mwenendo huu mie naona, hilo bunge la Chama kimoja Tz ,litaendelea kulinda maslhi Yao tu, hadi wananchi watapozinduka kwenye usingizi mzito, huku spika wa bunge naye akitumia hadaa za kisheria, kuendelea kuwaruhusu watuhumiwa wa CAG, wa ubadhilifu kuendelea kula bata hadi baada ya November '23, ..... Naona Tz kweli maigizo hayawezi kuisha aiseee.. .tukubali yaishe....
Wakati huo mafisadi yaliyokubuhu yatakuwa yamepoteza vielelezo na ushahidi!