Mapens mabaya aisee. Mi ndio maana sipendagi kuwekeza kwa mtu tupendane hivyo hivyo bila kutiana shoti. Unampa mtu mavitu ya gharama ili atulie asihangaike mwisho anakusaliti na kiburi juu. Naweza kuishia jela kwa hizi hasira za KishanaInawezekana yote hayo alikuwa anaweza kuyafanya..
Ila nadhani unajuaga Mapenzi yakiamua kukupeleka speed namna inavyokuwa..
Unaweza kufanya vitu hata haviko Duniani...Baadaye unaanza kujishangaa
Enzi hizo kijana alikua bado yupo chuo anasomea ufundi kabla hajabobea kwenye compressor za atlas copcoNadhani jamaa anadhania aliibiwa juzi. Aliibiwa miaka kumi na moja iliyopita. Ni muda kidogo.
Bibi Fei, tafadhali! Usitusemee wanaume. Maana tunajifahamu udhaifu wetu.Uislam mwema sana, angekuwa Muislam angekuwa na mke zaidi ya mmoja kihalali kabisa.
Hakika, kila msiba ni mawaidha kwa tulio hai.
Sawa sio Tira maana kazi yake kusimamia maswala yote ya bima,lakini ninavyojua kila gari la serikali Zina bima,sijajua namna inavyokatwaSiyo yote yana Bima...
Na TIRA Haitoi Bima
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mapens mabaya aisee. Mi ndio maana sipendagi kuwekeza kwa demu. Unampa mavitu ya gharama mwisho anakusaliti na kiburi juu. Naweza kuishia jela.
Ubaya gani sasa,mwanamke anamfatilia Mwanaume kila sehemu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Enzi hizo kijana alikua bado yupo chuo anasomea ufundi kabla hajabobea kwenye compressor za atlas copco
Upo sahihi...Sawa sio Tira maana kazi yake kusimamia maswala yote ya bima,lakini ninavyojua kila gari la serikali Zina bima,sijajua namna inavyokatwa
Hapana siwezi aisee. We kama tunapendana tukapeane utamu kiroho safi. Misosi na usafiri ntagharamia ila usitegemee iphone, kodi au gharama yeyote ambayo haihusiani na mchakato wa kupelekeana moto.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unawekeza tu Extro...
Tunaishi mara moja...
Ukipigwa tukio Unajikusanya, Unajikunguta,unasonga mbele....Ukapatane na Mali safi ingine tena.
Kwani unadhani kuna mtu kwenye Mahusiano huwa anapanga yatakaaje basi..Hapana siwezi aisee. We kama tunapendana tukapeane utamu kiroho safi. Misosi na usafiri ntagharamia ila usitegemee iphone, kodi au gharama yeyote ambayo haihusiani na mchakato wa kupelekeana moto.
Kosa ni kutumia gari la serikali kwenye mambo binafsi. Hayo mengine hakuna mkamilifu kila mtu na dhambi zake.Very personal !!!!a public servant being unfaithful and unethical by committing extra marital affairs using government vehicle financed by tax payers' money!!
Tanganyika siku zote umbea, habari mbaya na fedheha zinapata wasomaji wengi kuliko mambo ya msingi.Uzi unakimbia kinyama
Teh 😂😂 hii nchi ina vituko kweli kweli...... mbona juzi tu hapa walikuwa kwenye semina ya muda mrefu tu Arusha wakifundwa ... Ha ha ha! Hii nchi hii; as long as CCM is in power tusitegemee lolote kwa aina hizi za viongozi.
Kwangu mimi nailaumu imani yake, ndiyo inayomfunga na Imani yake,Waisilamu wameruhusiwa kuowa zaidi ya mke mmoja, lakini wakristo wamekatazwa na wazungu, ila wanamichepuko