TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Uzao wa Bavicha hauna lolote!!!...umeona ustaarabu wa mtu unapimwa na kulala naye...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzao wa Bavicha hauna lolote!!!...umeona ustaarabu wa mtu unapimwa na kulala naye...
Haya aliyofanya waziri wa CCM na uzao wa bavicha lipi linatia kinyaa?Uzao wa Bavicha hauna lolote!!!
Anasimamia Afya Tamisemi,Elimu ni NdejembiHuko ulaya ingekua aibu. Hapa kwetu utamuona akipona anarudi bungeni na kulaani vitendo vya ushoga na usagaji.
Na makofi mengi mengi atapigiwa as if hajafanya Jambo la aibu.
Kumbuka huyu ndio anasimamia elimu ya watoto wetu na waalim.
Sasa Hapa MkuuMlioko karibu na hospitali. Waziri anaendeleaje? Wakimleta Dar mseme tukampe pole.
Leo hata mawaziri wenzake hawana mpango nae.
Mheshimiwa Anaumwa Ila Anapumua Hivyo Nafasi Haitakiwi Kupewa Mtu MwingineMamlaka hazichagua au kuteua waziri mwingine badala yake
Sawaaaa. Kama yule yuko kuzimu aliyetuibia matrillion na kumpiga mkwara mume wa mtu abaki huko huko China asikanyage bongo?Awamu ya wezi na mafuska.
Kiu wakati mkewe yupo nyumbani ?Mkuu
Alikuwa Na Wale Wanakaa Chako Ni Chako, Royal Oops Inawezekana Mheshimiwa Alikuwa Na Kiu Sana Sasa Akaenda Kujipooza
Usimseme Hivyo Mzilankende, WeweSawaaaa. Kama yule aliyetuibia matrillion na kumpiga mkwara mumu wa mtu abaki huko huko China asikanyage bongo?
😄😁😆😅😄😂😁😁😆Tuseme Mheshimiwa Ni Mhuni Tu InatoshaKiu wakati mkewe yupo nyumbani ?
Wanao uhakika wa kupata matibabu kwa kodi za wananchiKiu wakati mkewe yupo nyumbani
Hizo ni Hekaya tu.Sawaaaa. Kama yule yuko kuzimu aliyetuibia matrillion na kumpiga mkwara mume wa mtu abaki huko huko China asikanyage bongo?
Anamdhalilisha Mpakwa mafuta?Usimseme Hivyo Mzilankende, Wewe
Yaani Mpakwa Mafuta (Anointed Holy Man)Anamdhalilisha Mpakwa mafuta?
😂😁😆😅😄Supu imeingia nzi tayari...
Hakuna sehemu isiyokuwa na Tax.Dodoma hakuna Uber 😀
😂😂😂Mafisadi na wazinzi wamejaa kwenye awamu hii.