Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Huko ulaya ingekua aibu. Hapa kwetu utamuona akipona anarudi bungeni na kulaani vitendo vya ushoga na usagaji.
Na makofi mengi mengi atapigiwa as if hajafanya Jambo la aibu.
Kumbuka huyu ndio anasimamia elimu ya watoto wetu na waalim.
Anasimamia Afya Tamisemi,Elimu ni Ndejembi
 
Mlioko karibu na hospitali. Waziri anaendeleaje? Wakimleta Dar mseme tukampe pole.

Leo hata mawaziri wenzake hawana mpango nae.
Sasa Hapa Mkuu
Tuanze Na Walioko Dodoma Halafu Baadaye Huko Muhimbili
Kiongozi Kaamkaje Na Hali Yake Vp, Kama Bado Tusingoje Tumpeleke India Chap Chap
 
Sawaaaa. Kama yule yuko kuzimu aliyetuibia matrillion na kumpiga mkwara mume wa mtu abaki huko huko China asikanyage bongo?
Hizo ni Hekaya tu.

Hakuna ushahidi wa hayo yote ila awamu hii sote tunaona na mama yenu anaishia tu kuwaita wezi Stupid.

Kama huyu mzinzi hapa sote tumeona .

Hili ndio Baraza la mawaziri linalomshauri Rais.
 
Back
Top Bottom