Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kwamba yeye hashindi kwenye kiyoyozi? Kwamba yeye haindeshwi kwenye gari ya kiyoyozi? Kwamba watoto wake hawasomi "international schools"??mkuu wa mkoa anamaanisha anachosema na amerudiarudia kutia msisitizo
CCM wanafiki sana sana, wacha wararuane