Dodoma: RC Antony Mtaka amchana Waziri wa Elimu kuhusu mwisho wa Watoto kusoma kuwa ni saa tisa
Mtaka yupo sahihi kuhusu Kambi zake. Lakini approach ya kumjibu waziri, yaani mteule wa rais hivi kuna mushkeli kidogo. Labda yupo undercover ili kumexpose waziri kurahisisha uamuzi wa mamlaka
popote pale uwemakini na MTU anaitwa RAS au DAS
Nadhani huyu alianza kusikika kwenye eneo LA RAS

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Swala la Elimu yetu kufanywa kama mpira wa danadana na kila mmoja kuwa anachezea, ni makosa makubwa sana, mwongozo wa pamoja uko wapi?

Napingana na huyo mkuu wa mkoa wenu pendwa, Inakuweje awe na mpango wa kivyake vyake?

Mkuu wa mkoa wa Songea naye awe na matako yake, na wa mikoa mingine, tutakuwa taifa la aina gani?
Uhuru wakutoa ushauri prof asad anasema Tue tunaambizana

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Yuko sahihi sana. Ila hakumlenga Waziri moja kwa moja, kawalenga wafanya maamuzi Wizarani. Mkuu wa Mkoa yupo vizuri sana. Huyu ndio anastahili kuwa Waziri wa Elimu.
Mfanya maamuzi gani huyo ambaye gari yake inatembea na bendera wizarani kama sio Waziri, waziri Mkuu na Raisi tu.?
Kusema asikilizwe yeye tu yeye ndo mtaalamu wa Elimu.?
 
Yuko sahihi sana. Ila hakumlenga Waziri moja kwa moja, kawalenga wafanya maamuzi Wizarani. Mkuu wa Mkoa yupo vizuri sana. Huyu ndio anastahili kuwa Waziri wa Elimu.
Nope, wafanya maamuzi wangapi wizarani wanapeperusha bendera
 
Mtu mwenye Phd ukimsikiliza ata masters tu provided kweli kaisotea na transcript zake zimejaza B’s kwenda juu kuanzia sekondari anapoongea kuna reasonability ya intelligence unaiona.

Siku zote nimekuwa nasema Ndalichako doesn’t add up kama Phd; she is just too shallow ukimsikiliza mara nyingi.
Huyu mama siyo kiumbe mzuri aliwahi kutufanyia mbaya sana fourm four na form six wa 2013 hiki kimama huwa ni kijinga kijinga kweli kina misimamo ya kupuuzwa MTAKA viva sana
Swala la Elimu yetu kufanywa kama mpira wa danadana na kila mmoja kuwa anachezea, ni makosa makubwa sana, mwongozo wa pamoja uko wapi?

Napingana na huyo mkuu wa mkoa wenu pendwa, Inakuweje awe na mpango wa kivyake vyake?

Mkuu wa mkoa wa Songea naye awe na matakwa yake, na wa mikoa mingine, tutakuwa taifa la aina gani?
 
Mtaka yupo sahihi kuhusu Kambi zake. Lakini approach ya kumjibu waziri, yaani mteule wa rais hivi kuna mushkeli kidogo. Labda yupo undercover ili kumexpose waziri kurahisisha uamuzi wa mamlaka
Hii haipo sawa.....
viongozi wa serekali moja wanapokinzana....
 
Swala la Elimu yetu kufanywa kama mpira wa danadana na kila mmoja kuwa anachezea, ni makosa makubwa sana, mwongozo wa pamoja uko wapi?

Napingana na huyo mkuu wa mkoa wenu pendwa, Inakuweje awe na mpango wa kivyake vyake?

Mkuu wa mkoa wa Songea naye awe na matakwa yake, na wa mikoa mingine, tutakuwa taifa la aina gani?
Ndali huyu ni mpuuzi ila kwa sababu wewe ni follower wake hujui huyu mama elimu anaiharibu sana mtaka yupo sawa ,, watoto wa kitz lazma uwakazie ndo wasome hata kwetu Huku Nanyumbu tunafanya vile aacha mikakati tuliojiwekea tujifanyie ili watoto wafaulu ,, sina hasara wala faida mtoto akifel
 
The Best RC.. Mtaka ni kiongozi kweli kweli, hana unafiki na ukweli ndio huo..

Ndalichako hii wizara ya Elimu inamzidi kabisa.. Mh. Rais Samia atafute Waziri wa Elimu mwingine.
 
Swala la Elimu yetu kufanywa kama mpira wa danadana na kila mmoja kuwa anachezea, ni makosa makubwa sana, mwongozo wa pamoja uko wapi?

Napingana na huyo mkuu wa mkoa wenu pendwa, Inakuweje awe na mpango wa kivyake vyake?

Mkuu wa mkoa wa Songea naye awe na matakwa yake, na wa mikoa mingine, tutakuwa taifa la aina gani?
Mkuu tunaongozwa na matokeo- kama umefanya jambo na likaleta matokeo mazuri siyo vibaya unalirudia
 
Mtaka Hana adabu kabisa. Nigelikuwa Samia I would have fired him immediately. Angelitafuta forum ya staha kusema aliyoyasema na si kubwatuka mbele za wazazi kumdhalilisha mteule mwenzake. Mtu anaweza kugeneralise kuwa the gov is disunited in it's dealings Amesema màneno ya kishenzi akiwa part of the government machinery.
Hafai kukalia ofisi ya umma.
Ni kweli kiongozi wa serekali huwezi kuongea vile hadharani....
but huyu waziri wa elimu alikuwa mteule wa Magu....naona akitolewa kitini......
nikirudi kwenye fikra namaizi mtaka hayupo pekeyake.,...
he was sent
 
NGOMA IKIVUMA SAAANAA, MWISHO WAKE HUPASUKA. MTAKA UMESIFIWA SAAANA TOKA AWAM YA 5 NA UMA UKAKUONA NI MTU MWENYE WEREDI, LAKINI KWA MATAMSHI YAKO YA KUTUKANA MTEULIWA MWENZAKO HAPO UMEKOSEA SAAANA. WEWE NI MWANACHAMA WETU WA CCM HIVI UMEKOSA NJIA SAHIHI YA KUFIKISHA UJUMBE KWA KADA MWENZIO MPAKA UMEONA UMSHUSHUE BILA WOGA?? HATA KAMA HUENDA MNABIFU ZENU, NJIA ULIOITUMIA SIO SAHIHI.
Wajinga mmezoea kuficha Kila kitu
 
Mataka awaasa wananchi wampuuze Waziri wa Elimu kuhusu mambo ya elimu Kwenye mkoa wa Dodoma.

Mataka amesema wampuuze Waziri ambaye watoto wake wanasoma international school.

Sikiliza audio hapo.
Mama Ndali umezoea kuwaonea wakuu wa taasisi za elimu halafu system inakuangalia tu.

View attachment 1851200
Kwanza rekebisha jina ni Mtaka.
Pili naunga mkono hoja ya Mtaka
Haya mambo ya kipaumbele cha Elimu, Mtaka hakuyaanza leo, wala hakuanzia Dodoma, msikilize hapa,

P
 
Mataka awaasa wananchi wampuuze Waziri wa Elimu kuhusu mambo ya elimu Kwenye mkoa wa Dodoma.

Mataka amesema wampuuze Waziri ambaye watoto wake wanasoma international school.

Sikiliza audio hapo.
Mama Ndali umezoea kuwaonea wakuu wa taasisi za elimu halafu system inakuangalia tu.

View attachment 1851200


Ndalichako ni Waziri wa kawaida sana. Tokea aingie Wizarani ni kufitinisha tu wenzake

Wakuu wa taasisi wanamkoma huyu Mama. Wakuu wa idara Wizarani wanaipata habari yake.

Ndalichako badilika Mama Samia yupo tofauti na mwendazake.

Hakuna thamani uliyoongeza hapo Wizarani zaidi ya kufitinisha wakurugenzi na mamlaka za uteuzi.

Tabia ya kuwafitinisha wenzako waondolewe kwenye uteuzi acha mara 1.
Bibi kama yule bado anashinda salon kuondoa mvi ili atembee na vijana. Hovyo sn
 
Back
Top Bottom