Dola isije kuthubutu kuwapa wapinzani (CHADEMA) nchi

Dawa yake sio Chadema Bali Katiba bora
 
Sijakataa kama ccm ni mbovu maana ndo imetuletea umaskini..Ila note maneno yangu Cdm haifai kabisa .


..What are your dreams for your country?

..Ukiangalia miaka 60 ya utawala wa Ccm, unaona ndoto zako kwa Tanzania zikitimia?
 
stori za vijiweni huku niliko raia walichoma road kisa walitangaza mgombea wa CCM wakati wao kura walizihesabu CDM walishinda, wakala virungu night kali vya jwtz
Hiki ilichfanyika ni uhuni tu wala siyo mamlaka stahiki za kidola. Chanzo cha uhuni huu ni katiba mbovu ambayo pia inazaa tume mbovu ya uchaguzi inayoruhusu chama tawala kuvitumia vyombo vya dola kufanya vitu vya hovyo.
 
..What are your dreams for your country?

..Ukiangalia miaka 60 ya utawala wa Ccm, unaona ndoto zako kwa Tanzania zikitimia?
Tunahitaji transition especially political, Tena chama kipya sip walevi.
 
Ishu hata sio katiba mpya ki vile ni kutii hiyo katiba, labda uniambie mpya itaondoa immunity aliyowekewa Mheshimiwa, dola ndio inayoishikilia hiyo katiba mbovu inayoipa moo pawa unadhani itaiachia kirahisi, yaani katiba iliyopo tu haifuatwi. Unadhani ikiwa katiba mpya ndio itafuatwa na ili uipate kumbuka inabidi mkubaliane na walioshika dola sasa hivi, CCM.
Hiki ilichfanyika ni uhuni tu wala siyo mamlaka stahiki za kidola. Chanzo cha uhuni huu ni katiba mbovu ambayo pia inazaa tume mbovu ya uchaguzi inayoruhusu chama tawala kuvitumia vyombo vya dola kufanya vitu vya hovyo.
 
Tunahitaji transition especially political, Tena chama kipya sip walevi.

..Hujanijibu swali langu.

..What are your dreams for your country?

..Baada ya kushuhudia uongozi wa Ccm tangu uhuru, unaamini ndoto na matarajio yako yatafikiwa?
 
CHADEMA INAPIGIWA KURA NA WENYE AKILI NI MJINGA TU AMBAYE HAJUI UMUHIMU WA UPINZANI NDIO HATA IPIGIA KURA CHADEMA
Chadema familia zao wamezificha ughaibuni. We kufa njaa kwa kuishabikia chadema wale siyo wenzako na hawapo kwa ajiri yako
 
Chadema familia zao wamezificha ughaibuni. We kufa njaa kwa kuishabikia chadema wale siyo wenzako na hawapo kwa ajiri yako
Halafu maneno haya ya kipuuzi unakuta yanatoka kwa mtu alie na dhamana ya kutoshiriki siasa
 
Wewe ni K
 
Ishu hata sio katiba mpya ki vile ni kutii hiyo katiba, labda uniambie mpya itaondoa immunity aliyowekewa Mheshimiwa
Katiba bora haiombi ama kumbembeleza mtu kuitii. Asiyeitii inamuadhibu.

Kuhusu immunity aliyo nayo rais kwa Sasa. Hili ni moja ya (ubovu) mapungufu makubwa ya katiba tuliyo nayo. Imagine rais yuko juu ya katiba. Yaani anaweza hata kuamuru kundi fulani, kabila fulani, ama wafuasi wa chama fulani wauawe. Halafu katiba yetu unasema hatahojiwa Wala kushitakiwa popote.

Pia rais anaweza kuuza kipande cha ardhi ya nchi hii bila waswasi waowote. Yaani mafano anaweza kuuza mlima Kilimanjaro, anaweza kuiuza mikoa ya kanda ya ziwa au kanda ya pwani ama kanda ya kati ama kanda ya kusini na sifanywe kitu.

Anaweza akaiba uchaguzi (siyo kuiba kura) kama alivyofanya Magufuli na asifanywe kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…