KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Mbona ni rahisi tu mkuu.
Sabaya kwani ni nani alimfungulia kesi?
Najua siyo mtu binafsi kama mkuu 'The Icebreaker', Kubenea au hata 'mirindimo' mwenyewe.
Hiyo ndiyo tofauti ya hawa wawili, Makonda na Sabaya.
Sabaya kwani ni nani alimfungulia kesi?
Najua siyo mtu binafsi kama mkuu 'The Icebreaker', Kubenea au hata 'mirindimo' mwenyewe.
Hiyo ndiyo tofauti ya hawa wawili, Makonda na Sabaya.