Droo ya Play-off, Yanga yapangwa na Club Africain ya Tunisia

Pia niwakumbushe kuwa wachezaji wa Club Africain walipewa lawama nyingi kutoka kwa mashabiki kwa kosa la kupata ushindi mwembamba wa goli 7-0

Naskia baada ya sintofahamu hiyo walitoa ahadi kwa mashabiki kuwa watarekebisha makosa yao kwenye mechi inayofuata

Tutegemee jackpot
 
kwa anaejua,natafuta Engrish corse ya kiarabu nataka nichukue uraia wa Tunusia haraka sana.
 
Yanga rudi nyumbani kumenoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…