ili 2nd leg iwe 9-0?2-2 game ya kwanza[emoji2]
Timu yoyote atakayopangiwa nayo hapo itaitoa daima mbele nyuma mwiko
GSM hela anayo sema tatizo kuwasikiliza chawa wake.....Kwa bajeti gani?
KumbavAcha mkapigwe tu na mwiko wenu nyuma dadadq
Nyumbani nguvu ya mashabiki ipo kuwasapoti...... tatizo ugenini ambapo hakuna mashabiki wa kuwatia moyo ndio inatakiwa wakaizoee hiyo haliKwakuwa tunaanzia nyumbani inatakiwa Yanga ilete timu Dar ya kupimana mayo, lakini italeta maana kama unapata timu kutoka ukanda ule wa Waarabu.
Sio December ni jumatano ijayo tarehe 2 na 9Hawa jamaa walipotea muda mrefu kwenye mashindano ya kimataifa naona wamerudi Kwa kasi wa nidhamu kubwa ya Mpira
Yanga kazi tunayo December
[emoji23][emoji23]tumefikia hatua ya kuombeana kufa.Mmeshaanza uchawi, unaweza usiwe hai hiyo siku ya mechi ukafa siku chache tu zijazo.
Ni kweli As Vita Vs Kadiogo haijachezwa,ngoja wajuvi watujuze.Ivi kwa nini as vita hajacheza mpaka leo
Kilichomkuta Kipanga huko Tunisia ni kama hukijui?
Yanga rudi nyumbani kumenogaYanga wamepangiwa hatua ya mtoano dhidi ya Club Africain ya waarabu. Hawa ndio wale waliowapiga Kipanga FC 7-0 huko shirikisho.
Club Africain ni timu Kongwe na walishatwaa ubingwa wa Klabu bingwa Afika mwaka 1991. Hawa jamaa wanamiliki uwanja wao unaobeba watazamaji 60,000/= kama kwa mkapa tu. Wapinzani wao wakubwa na wanaocheza nao derby ni ES Tunis na pia wana upinzani wa jadi na Etoel du sahel na MC Alger ya Algeria.
Club Africain ni timu inayocheza kwa mbinu za hali ya juu wakiwa ugenini huwa wanacheza kwa tahadhari ya kutopoteza mchezo na wakiwa nyumbani huwa wanaachia majini yao yote na ndio kilichomkuta kipanga.
Yanga wasichukulie kuwa hawa ni wepesi kwa kuwa kwenye ligi yao walimaliza nafasi ya 4. Tunajua wenzetu uwekezaji wao ulivyo hata timu za chini zina uwezo mkubwa.
Tarehe 2 November itakuwa kipimo kingine kwa Yanga ambao kwa hapa ndio underdog na wataanzia tena nyumbani kama kawaida.
View attachment 2391040
Kesho ndo wanachezaIvi kwa nini as vita hajacheza mpaka leo
Tarehe 9 nabi inabidi abebe mabegi yake maana anarudi nyumbani.Bora umesema wewe