Duka la "Plea Bargain" lafungwa, Waliochukuliwa fedha zao waitwa kuhojiwa, uchunguzi waanza


Halafu wana CCM walivyo wanafiki wakawa wanalia alipofariki.
 

Magufuli alikuwa ana roho mbaya , mengine ni mbwembwe za kumtetea
 
Miaka ya Magufuli ime tu expose Watanzania kama watu wa ovyo sana tunaoweza kuendeshwa kimabavu na mtu mmoja tu.

Kweli kabisa. Tulionesha udhaifu mkubwa. Yani watu wanatekwa na kupotea kusikojulikana lakini watu wanajifanya kutokujali. Ilikiwa wakati mgumu Sana.
 
Wewe unajulikana ni mpambe na kibadaka wa wahuni wa CCM mmezoea upigaji na unanufaika na upigaji
 
Kama unampenda Sana magufuli nenda ukazikwe naye! Khaaa hamjui kusoma alama za nyakati ? "Mene mene tekel na peresi" magufuli was evil alikuwa na roho ya ushetani. I hated mwendazake [emoji817] alikuwa ni shetani yule.
 
Kama unampenda Sana magufuli nenda ukazikwe naye! Khaaa hamjui kusoma alama za nyakati ? "Mene mene tekel na peresi" magufuli was evil alikuwa na roho ya ushetani. I hated mwendazake [emoji817] alikuwa ni shetani yule.
Wewe utapigwa mawe na wananchi . Ongea huu upuuzi mbele ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…