100% Factmbona tumesoma kwenye shule za kayumba na tukatoboa mpk University na kupata hadi Phd.?
Pesa ya kulipia mtoto ada milioni 4 ni bora uwe unamnunulia viwanja kila mwaka ili akikua akute baba yake kashamuandalia assets za kutosha.
Acheni dharau na professional za watuUkweli huuma.
Hakuna dharau hapo kwenye ukweli
Hakuna connection yoyote acha kujiaminisha upumbavu.Mtoto wako kusoma English Medium anajiweka karibu na Connections hata ma classmates wake Wanakuwa na asilimia kubwa kufika sehemu flan tofauti na kayumba Mnaanza 100 Watafukuzwa 20 Wataacha 10 zero 50 div 3 zipo 10 div 2 zipo 6 div 1 4 kuna nini hapo? Acha ubahili
Upuuzi mnasupport ujinga100% Fact
Zipo ambazo wanafundisha vizuri sio shule yoyote kisa ina magari ya njano ni English mediumEMS hazifundisha kingereza bora ni ujinga unaendelea kule.
Bora English course za ras simba
Wewe km ulifeli connection ni weweHakuna connection yoyote acha kujiaminisha upumbavu.
Uzuri hizo shule nazifahamu nje ndani.
Hakuna cha connection wala soko la kimataifa wala lugha bora ya kingereza.
Maisha ya kibangaizaji tu sawa na hao wa kayumba ndio end product
We unawaza kuajiriwa tu utafikiri tupo mwaka 1985.Mwaka huu kwenye interview nimeingia kwenye panel nakutana na wafaransa watatu wote wanakupiga maswali ndani ya lisaa lizima nguvu na mateso mtu unayopitia hata kujiandaa na kujiumama ni makubwa sitaki fedhea kama hizo ziwakute wanangu.
Tunafanya kazi na waganda watanzania wengi wanajua mambo sana lakini tunadharaulika kisa kujua lugha ambayo imetokana na mifumo mibovu ya st kayumba
Niliwahi kutana na kajamaa goba kwenye bajaji anavitoto vyake vidogo vinatema yai yaani nibalaa
Hakuna cha profession ujinga tu the the na ende ende nyingi upumbavu mtu.Acheni dharau na professional za watu
Tatizo jf siku hizi imejaa wajinga wengiZipo ambazo wanafundisha vizuri sio shule yoyote kisa ina magari ya njano ni English medium
Hujui unakiongea mjinga weweHakuna cha profession ujinga tu the the na ende ende nyingi upumbavu mtu.
Mtoto atakacho ambulia ni a for apple na dady na mummy nyingi huku kichwani hamna jipya tofauti na huyo wa kayumba.
Hakuna cha kufeli connection EMS za bongo ni utapeli wa elimu bure ya kayumba inayolipishwa ada za mamilioni uzuri hizi shule nazijua vizuri hivyo huna utakacho nielekeza nisicho kifahamu kuhusu hali halisi ya hizi shuleWewe km ulifeli connection ni wewe
Shule nzuri Tanzania ni International schools pekee zengine zote zilizobaki ni utapeli mtupuZipo ambazo wanafundisha vizuri sio shule yoyote kisa ina magari ya njano ni English medium
Sio kuajiriwa tu Lugha ya kimataifa hata ukienda kuomba visa ya nchi zinazojielewa kama usa, kwenye biashara mbalimbali za kimataifa ndio kabisa usisemeWe unawaza kuajiriwa tu utafikiri tupo mwaka 1985.
Mjinga ni wewe usiyejua lolote zaidi kukariri upuuziHujui unakiongea mjinga wewe
Nazo ni yale yale upuuzi mtupuNa hizi zinazoendeshwa na taasisi za kidini ni za kihuni? Ila sijue kama wanaajiri waalimu "competent ".
Ambona tumesoma kwenye shule za kayumba na tukatoboa mpk University na kupata hadi Phd.?
Pesa ya kulipia mtoto ada milioni 4 ni bora uwe unamnunulia viwanja kila mwaka ili akikua akute baba yake kashamuandalia assets za kutosha.
AiseeSio kuajiriwa tu Lugha ya kimataifa hata ukienda kuomba visa ya nchi zinazojielewa kama usa, kwenye biashara mbalimbali za kimataifa ndio kabisa usiseme
Au labda kama unataka kuwa mchuuzi wa humu humu nchini
Kwa hiyo akisoma Kayumba hawezi fika University? Mbona unaongea kitu ambacho hukijui?Aset bila Elimu Bora atamalizaa kuhonga zotee na pombe maana discipline ya maisha na umakini wa maamuzi Hana.Ni kweli Kuna kundi la watoto wenye uwezo mkubwa wa kiakili ambao hata bila Mwalimu anafaulu Hawa shule nzima unaweza Kuta 10 kwenye shule ya Watoto 650.
Pima watoto wako ni gifted genius au ugaungaaa?
A
EMS Tanzania hakuna elimu bora ni upuuzi mtupu.Aset bila Elimu Bora atamalizaa kuhonga zotee na pombe maana discipline ya maisha na umakini wa maamuzi Hana.Ni kweli Kuna kundi la watoto wenye uwezo mkubwa wa kiakili ambao hata bila Mwalimu anafaulu Hawa shule nzima unaweza Kuta 10 kwenye shule ya Watoto 650.
Pima watoto wako ni gifted genius au ugaungaaa?
A