English Medium ziko Ovarated sana. Hakuna elimu pale zaidi ya utapeli. Shida ni tumekuwa Brainwashed sana

Hakuna connection yoyote acha kujiaminisha upumbavu.

Uzuri hizo shule nazifahamu nje ndani.

Hakuna cha connection wala soko la kimataifa wala lugha bora ya kingereza.

Maisha ya kibangaizaji tu sawa na hao wa kayumba ndio end product
 
We unawaza kuajiriwa tu utafikiri tupo mwaka 1985.
 
Aset bila Elimu Bora atamalizaa kuhonga zotee na pombe maana discipline ya maisha na umakini wa maamuzi Hana.Ni kweli Kuna kundi la watoto wenye uwezo mkubwa wa kiakili ambao hata bila Mwalimu anafaulu Hawa shule nzima unaweza Kuta 10 kwenye shule ya Watoto 650.

Pima watoto wako ni gifted genius au ugaungaaa?
mbona tumesoma kwenye shule za kayumba na tukatoboa mpk University na kupata hadi Phd.?

Pesa ya kulipia mtoto ada milioni 4 ni bora uwe unamnunulia viwanja kila mwaka ili akikua akute baba yake kashamuandalia assets za kutosha.
A
 
Kwa hiyo akisoma Kayumba hawezi fika University? Mbona unaongea kitu ambacho hukijui?
 
EMS Tanzania hakuna elimu bora ni upuuzi mtupu.

Pumba anazokula mtoto wa kayumba kwa kiswahili ndizo hizo hizo pumba anazokula wa mtoto wa EMS hapa Tanzania hakuna jipya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…