EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta zinazoanza kutumika Juni Mosi

[emoji848]
 
Kenyata alitoa zaid ya 100 bilion na mafuta bado ni Ksh 150 = TSh 2988 kwa pesa ya Tanzania

Tunazungumzia uchumi wa Tanzania au kenya?? Yani Kodi zilizopo kwenye mafuta ni 51% ya bei. Manake hata wese likiuzwa 2500 serikali bado inapata kodi nyingi tu.
 

Wahuni washakwenda nazo tayari[emoji28][emoji119]
 
Hata kama kweli hiyo 100bn imetoka, basi hesabu inasema karibu 40bn imekwenda kwa maji!

Kulikua hakuna haja ya kutoa hizo pesa wakati mchawi alikua kodi, serikali ingepunguza makodi yake yasiyokua na maana kuna kodi zingine ni kutukandamiza tu. Hakuna pesa iliyotoka wanacheza na mind zetu tu, ili mseme mama anaupiga mwingi
 
Kulikua hakuna haja ya kutoa hizo pesa wakati mchawi alikua kodi, serikali ingepunguza makodi yake yasiyokua na maana kuna kodi zingine ni kutukandamiza tu. Hakuna pesa iliyotoka wanacheza na mind zetu tu, ili mseme mama anaupiga mwingi
Inawezekana zimetoka kweli ila zikaingia kwao kisha wakawaambia baadhi ya watoza ushuru kuwa ile 100bn inatokana na ile tozo yenu hivyo sahauni hiyo kitu.

Ikawa, 100bn imetoka mfuko mkuu na wao kugawana ili waendeleze ufalme kwa pisi na escorts kutoka bongo movie, na tozo moja kupigwa stop; two in one.
 
wale inawezekana hawaendi haja, haiwezekani kwa kufikiri na kuamua namna hiyo..alafu wanakuja jipigia makofi lundo. Uchafu ukikaa sana mwilini unaathiri ufanyaji kazi wa ubongo
 
Msoga Jazz Band-walamba asali leo tupo Ukumbi wa EWURA.Nchi ngumu hii,akiiweka sana kichwani utaishia kunywa painkillers kupunguza maumivu ya kichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…