Facts kadhaa zinazoufanya Mkataba wa Tanzania na Dubai juu ya Bandari kuwa batili. Tuwe nazo Makini

Umeshaambiwa termination clause ipo, inasema ukomo utafikiwa kuvunja mkataba pale shughuli za bandari zitakapokoma. Labda sijui kama zitakapokauka maji? Au mwisho wa dunia. Ndo hicho kipengele unachosema kiwekwe
Usichotwe akili na wapotoshaji .
Termination clause haijasema hivyo..
Lakini wamesema uhai wa IGA uko sambamba na uhai wa HGA ambayo itaweka mda wa mkataba..
Wenzio wanalipwa kupotosha ...
 
Tumieni akili acheni kulalamika,hao waarabu wakija ndio fursa ya kufunguka biashara za mazao,hao watataka kula
1.Viazi,Ngano,Michele,mihogo,!
Mapapai,ndizi,matunda nk
Kwamba kwa akili za hawa CCM unategemea wewe ndio utanufaika kwa kuwauzia hao viazi 🤣??? Unaonekana ni mgeni wa hili taifa wewe utakuwa Diaspora
 
Usichotwe akili na wapotoshaji .
Termination clause haijasema hivyo..
Lakini wamesema uhai wa IGA uko sambamba na uhai wa HGA ambayo itaweka mda wa mkataba..
Wenzio wanalipwa kupotosha ...
Umesema vizuri, mimi hamna mtu anaenilipa, lakini umejionesha kwamba wewe umetumwa na unalipwa. Tatizo hizo clause mnazosema nyinyi hamuweki hapa ili kulinda hoja zenu. Kama mkataba ukomo wake mpaka shughuli ziishe hii ina maana gani kwa mujibu wa sheria zako uchwara?
 

Ignorance is bliss...
 
Ule mkataba wa hovyo una kasoro zaidi ya moja, sio hiyo duration pekee, ambayo hata nyie hamuijui zaidi ya kubuni tu, mnasema labda miaka 25 or whatever!..

Ule mkataba umevunja sheria kibao za hii Tanganyika yetu, usomeni vizuri muuone.
 
Unapoteza muda kuja na orodha ndefu ya mambo ambayo yameshatolewa ufafanuzi.

Wapigaji hapo bandarini siku zao zinahesabika. Hizi juhudi za kuja na mada ni sawa na mtu anayekaribia kufa jinsi anavyopaparika wakati roho inatoka.
 
Umeshaambiwa termination clause ipo, inasema ukomo utafikiwa kuvunja mkataba pale shughuli za bandari zitakapokoma. Labda sijui kama zitakapokauka maji? Au mwisho wa dunia. Ndo hicho kipengele unachosema kiwekwe
Mjinga haelewi hata hiki!.
 
Ule mkataba wa hovyo una kasoro zaidi ya moja, sio hiyo duration pekee, ambayo hata nyie hamuijui zaidi ya kubuni tu, mnasema labda miaka 25 or whatever!..

Ule mkataba umevunja sheria kibao za hii Tanganyika yetu, usomeni vizuri muuone.
TICTS wamekaa miaka 22, mkataba wao haukuwa na ukomo kama huu wa DPW?.
 
Huyo ni dini tu, nothing else.
 
Ndio umeandika nini hapa? Miaka 32 kwako sio ukomo?!

DPW hauna ukomo, coz shughuli za bandaruni haziwezi kwisha.
IGA haina ukomo lakini HGA inayotengenezwa kwa makubaliano kati ya mwekezaji na mzalendo inao ukomo.

Na kumbuka kuwa hawataweza kufanya biashara bila ya kwanza kusajiliwa BRELA, hivyo moja kwa moja watafuata sheria na kanuni za nchi hii.
 
sina.ndugu.anayefanya kazi.bandarini kwamba DP wakija atakosa ajira ila kwa uzalendo wangu Samia aachane.na.huu.ujinga.Wa
DP
 
Uelewa wako mdogo, hauwezi kuwa na access na HGA bila ya kwanza kuwepo makubaliano ya kibiashara kati ya pande mbili, muwekezaji na mzalendo.
Hujanielewa. Nachomaanisha, hakuna siku HGA itawekwa public. Sisi umma tunaweza kusoma IGA, au BITs tu.

Ndio maana tunataka hii IGA ikae sawa, huko kwenye HGA, wanasaini tu hata wakiwa mahotelini marekani. Watajua wenyewe
 
Uwape bandari bure, uwauzie mahindi na mchele, ...

Kweli wewe ni mangungo promax..
 
Hujanielewa. Nachomaanisha, hakuna siku HGA itawekwa public. Sisi umma tunaweza kusoma IGA, au BITs tu.

Ndio maana tunataka hii IGA ikae sawa, huko kwenye HGA, wanasaini tu hata wakiwa mahotelini marekani. Watajua wenyewe
IGA imetengenezwa kwa ushirikiano kati ya wanasheria wa Tanzania na wale wa Dubai kwa kipindi cha zaidi ya miezi sita.

Hawa ni wabobezi wa sheria. Kwa upande wa Tanzania ni Dr Possi na Hamza hawa licha ya kusomea sheria pia ni waalimu wa vyuo vikuu ngazi ya masters.

Upande wa DPW pia unao wataalam ambao sio waarabu wa pale ni waajiriwa tu wanaowakilisha kampuni hiyo na wao ni wataalam waliobobea katika sheria.

Watanzania kila kitu tunajifanya tunakijua, kila mahali tunao wepesi wa kukosoa, wepesi wa kutoa mapendekezo, huwa tunachekesha sana na huu ujuaji wetu.

Kwamba mtu mmoja tu humu JF anaandika akikosoa IGA yaani kama vile anajua analoliongea kumbe ni upuuzi mtupu mbele ya mwanasheria mbobezi. Hizi mada za sheria sio sawa na zile za Yanga na Simba kwamba kila mtu anaweza tu kuzielewa na kuzikosoa.
 
Uwape bandari bure, uwauzie mahindi na mchele, ...

Kweli wewe ni mangungo promax..
Akili za kiduwanzi ndio hizi. Nani anayetoa bandari bure?. Fanya utafiti ujue ni kiasi gani cha pesa serikali inakwenda kuingiza kwa mwaka mmoja tu wa mkataba na DPW.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…