Facts kadhaa zinazoufanya Mkataba wa Tanzania na Dubai juu ya Bandari kuwa batili. Tuwe nazo Makini

Soma..


Utapata kitu cha kuongeza ktk ubongo wako
 
Usichotwe akili na wapotoshaji .
Termination clause haijasema hivyo..
Lakini wamesema uhai wa IGA uko sambamba na uhai wa HGA ambayo itaweka mda wa mkataba..
Wenzio wanalipwa kupotosha ...
Una uhakika gani mkataba mdogo utafuata mkataba mama? Na je kama ukitaja vinginevyo tutajikwamua vipi na huku Bunge limeridhia? Unazungumziaje kuhusu mkataba kuamuliwa na sheria za kimataifa? Hili nalo halikupi tatizo? Kuna matokeo mengi mabaya na ya nchi kudhalilishwa na kufilisiwa kwa vipengele kama hivyo.
 
Ule mkataba wa hovyo una kasoro zaidi ya moja, sio hiyo duration pekee, ambayo hata nyie hamuijui zaidi ya kubuni tu, mnasema labda miaka 25 or whatever!..

Ule mkataba umevunja sheria kibao za hii Tanganyika yetu, usomeni vizuri muuone.
Hakuna hata sheria moja iliyovunjwa. Ni kelele zenye agenda binafsi tu. Nchi hii hata Serikali ikisema kila mtu ajengewe nyumba, lazima kuna kundi litabisha. Cha muhimu Serikali ifanye kama enzi ya Magufuli. Ikiona jambo linafaa, ifanye maamuzi maisha yaendelee.
 
Wewe ni Maulid Kitenge au Zembwela?
 
Hawa watu hawaelewi asee, wameamua tu kuvamia agenda za wapotoshaji
 
Nimesoma, pote, hakuna fedha inayoelezewa kuwekwa. Kasome
Namaanisha biashara hii itakuwa na teknolojia za kisasa kiasi cha kuongeza pato na kupunguza muda wa bandari kuhudumia meli moja.

TRA inakusanya trilioni 7 kwa sasa, utendaji ukibadilika pale TPA itakusanya trilioni 26, mara tatu zaidi ya hiki kinachopatikana.

Usishangae sana hawa wawekezaji kupigwa vita, ni vita inayotoka kwa mafisadi wa bandarini watu wanaofaidika na huu utendaji wa sasa.
 
Umesahahau kwamba pamoja na uwekezaji wa matrillion tuliyokopa katika kuendeleza bandari, DPW watachukua 100% ya faida, kana kwamba bandari wameijenga wao from scratch, kwamba sisi hakuna tulichojenga hapo bandarini?

Pia umesahau kwamba akitaka sehemu yeyote ya ‘territory’ ya Tanganyika, inabidi tufukuze wananchi kwa gharama zetu, na tumpatie bure, na hili halina ukomo!
 
Hayo ni maswali ya darasa la 3 ambayo hayawezi kuulizwa ili kuvutia uwekezaji wa mabilioni. Ni wapuuzi tu wasiojua kazi ya IGA, HGA na nakubaliana ya miradi itakayotekelezwa.
Bandari wanaichukulia kama kukodisha fremu kkoo vile 🤣
 
Kama ni mtego basi mngesema kipengele cha termination kipo Ila kimekaa kimtego kuliko kusema hakuna ...huko ni kupotosha
Boss, usishabikie tu. Nenda kwenye logic.

Mathalani, HGA ya bandari ya Dar port, ikasema ni miaka 10. Mwaka wa 9, DP anaamua kwenda kuwekeza ziwa Nyasa. Mnasaini HGA ya miaka 15. HGA inaanza ya bandari ya Nyasa, wakati HGA ya bandari ya Dar imebakiza mwaka 1 tu. Baada ya mwaka mmoja wa HGA ya Nyasa, HGA ya bandari ya Dar inaisha. Lakini kwa sababu ya HGA ya bandari ya Nyasa, IGA inaendelea. Kwa sababu IGA inaendelea, maana yake ni kwamba, japo HGA ya bandari ya Dar imeisha, IGA inakuzuia kumwingiza mwekezaji mwingine kwenye bandari ya Dar ambayo wakati inakuwa haina mkataba wowote, na pengine baada ya kwisha HGA ya Dar, tungetaka kuendesha wenyewe au kumpa mwekezaji mwingine!! Sijui kama unanielewa.

Huu ni mkataba wa kuitia kitanzi nchi.
 
DP imeenda Djibout, wananchi wameikataa baada ya kugundulika DP iliwahonga viongozi kuukubali mkataba mbaya.

Wamewafukuza DP. Dp imeenda mahakama ya Uingereza, Djibout imeamriwa na mahakama kuilipa DP dola milioni 700. Haya ndiyo yatatokea hapa kwetu.

Pesa walizohongwa viongozi wa serikali, wanahabari na wabunge, zinaenda kuliangamiza taifa la Tanzania.
 
Iko wapi?
 
IGA haina ukomo lakini HGA inayotengenezwa kwa makubaliano kati ya mwekezaji na mzalendo inao ukomo.

Na kumbuka kuwa hawataweza kufanya biashara bila ya kwanza kusajiliwa BRELA, hivyo moja kwa moja watafuata sheria na kanuni za nchi hii.
Hamjui mnachotetea, na wala hamjausoma ule mkataba (IGA) mwanzo mpaka mwisho, mnajiongelea tu.

IGA inajieleza wazi kwenye objectives zake, kwamba the aim of that agreement is to "set a legally binding framework" kwenye maeneo ya operation, management, improvement, na development..

Ndio maana mnaambiwa mwarabu yuko huru kuanza sheghuli zake since October 2022, mpaka hapo, hiyo HGA yenu tayari haina maana, sijui kama someni kitu kizima muelewe, sio kuokota nusu nusu kuja kubisha hapa...
 
Hawasomi. Wanaishia kulalamika eti anasalitiwa au anabaguliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…