Mhutu kama wahutu wengine una jingine?Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Hata mitume walitukanwa
Ni gharama za uongozi
Wanajua na kufahamu aina ya watu wanaomtukana Baba yao!Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Kiongozi anayeongoza taasisi kwa miaka zaid ya 20, na taasisi imekua ikipata ruzuku ya 300m per month kwa miaka 5 mfululizo, kiongozi huyo ameshindwa kujenga hata ofisi ya ya milion 30 ataweza kuongoza nchi?
Kiongozi anayepanda jukwaani akiwa amelewa, anazaa ovyo na wanachama na wakati ana ndoa ya kikristo ataaminika?
CCM siipendi lakini mbadala wake simuoni hapa nchini kwa sasa.. na ile kauli ya mwalimu Nyerere kua "mimi nang'atuka lakini naendelea kuamini kua bila CCM imara nchi yetu itayumba" ni ya kweli kabisa
Kiongozi anayeongoza taasisi kwa miaka zaid ya 20, na taasisi imekua ikipata ruzuku ya 300m per month kwa miaka 5 mfululizo, kiongozi huyo ameshindwa kujenga hata ofisi ya ya milion 30 ataweza kuongoza nchi?
Kiongozi anayepanda jukwaani akiwa amelewa, anazaa ovyo na wanachama na wakati ana ndoa ya kikristo ataaminika?
CCM siipendi lakini mbadala wake simuoni hapa nchini kwa sasa.. na ile kauli ya mwalimu Nyerere kua "mimi nang'atuka lakini naendelea kuamini kua bila CCM imara nchi yetu itayumba" ni ya kweli kabisa
Hawakujua namna ya kuwabana mafisadi na vyeti feki.Mbona Mwinyi na wenzake hawatukanwi
Naweka wallpaper hili nenoUkiwa Mtawala inatukanwa Katiba siyo Wewe
Ukiwa kiongozi yanatukanwa maono
Ndio sababu mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Shujaa Maguful hakuzuia Mikutano ya hadhara bali walioizuia ni Kamati kuu ya CCM
Nyie vijana wa dotcom ni ngumu kuelewa haya
Huwezi Kuwa na Kiongozi halafu uwe na Katiba
Kiongozi ndiye Katiba
Yesu ndiye Neno la Mungu!
Atatukanwa na watu wenye hulka na fikra za kitumwa kama wewe.Ni makosa ya baba yao, yeye aliendekeza ubinadamu wake na atatukanwa sana kwa vizazi na vizazi. Mtoto atakaezaliwa mwaka 2050 akisikia kwamba kuna jitihada zilifanywa kukuza na demokrasia na haki za binadamu ila akaja mtu mmoja anaitwa ...... akarudisha jitihada hizo nyuma lazima atamtukana!
"Maisha ya binadamu ni hadithi"-Mzee Mwinyi
Unamjua mudi?Kwani mitume walikuwa wauaji?
Familia yake inajisikiaje kwa huyo Mwendakuzimu kutukanwa?Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Nani anamtukana Mwinyi?Hata mitume walitukanwa
Ni gharama za uongozi
Mwenyekiti wenu Mbowe pale Mwanza kasema. Katazo la mikutano haukuwa uamuzi wa Magufuli.Kweli wewe hujui Magufuli alikosea wapi!!!? Samia mwenyewe anahangaika kurekebisha maelfu ya makosa aliyofanya huyo mtu wenu. Juzi tu Samia ameondoa katazo la mikutano ya siasa lililowekwa na dikteta; hujui bado Magufuli alikosea wapi?!!!
Hasa mama Janet manake amenawiri sana baada ya lile jinamizi kufa.Picha halisi ya kiongozi wanaijua wanafamilia kwanza.
Na wao pia walifurahi baada ya dikteta kuondoka.
Wasipotema tema nyongo na kumnanga Mwendakuzimu kwa udhalimu wake basi watakuwa ni waoga na wanafiki.Ikiwa matusi na lawama kwa hayati magufuli ndio agenda ya chadema,basi wahesabu wamepotea hata kabla hawajaanza.
Tena they should not go with it as it is....itawacost san
Labda Magufuli mwingine wa Msumbiji.Mwenyekiti wenu Mbowe juzi pale Mwanza kasema. Katazo la mikutano haukuwa uamuzi wa Magufuli.
Mwinyi kafa?Nani anamtukana Mwinyi?