Mbona hili limejadiliwa bungeni na bunge sasa lipo live hata kwenye simu unalipata. Kama limekupita unaingia youtube tu utayakuta.Tatizo hamuwapi Raia elimu ya kutosha kuhusu Faida na manufaa yatakayopatikana nanikwamda gani huo Mkataba utadum. Mnalaumu tu kuwa kuna watu wanapinga, mkae mkijuwa wanaowapinga wanahoja za maana namnatakiwa mzijibu, pia toeni Elimu ili hata wenye akili ndogo wawaelewe.
Wamekudanganya bana.Tatizo ni mkataba ulivyo ni general sana sio specific ni hatar sana inakuwa bandar ya ukoo kuna familia watakula pale had kifo chao na watoto watarithi
Unafiki, Ujuaji, ubinafsi na Njaa ndio tatizo. Hilo bunge lenu limejadili kwa mda gani, mkataba una kurasa nyingi tu unajadiliwa within a week., hivi unajuuwa maana ya sheria wew. Statement moja tu inaweza kubadilisha maana ya makabrasha yote.Mbona hili limejadiliwa bungeni na bunge sasa lipo live hata kwenye simu unalipata. Kama limekupita unaingia youtube tu utayakuta.
Huu siyo wakati wa mwendazake.
Sasa hivi mambo mdana mdana [emoji1484]
Kwahiyo watu wawili wakikaa mezani wakubaliane kushirikiana kwenye jambo flani,ndio muda hauwekwi?Ule yaiojadiliwa bungeni ni makubaliano ya ushirikiano, huwezi kuyapa muda.
You loose your legitimacyHalafu kuna wajuba wachache wenye chuki za kijinga wanajaribu kuzuwia maendeleo
Hiv kuna mtu anapinga uwekezaji kweliHizo ndiyo ukisikia fikra za kimaskini.
Bandari yetu kwa kuendeshwa na DP World tumeshajihakikishia 100% ya mizigo ya Rwanda kukutua Dar.
Thubutu!Usiwe na shaka kabisa, tutamhudumia bandarini.
Tatizo lipo kweny mkataba ni mbovuWatanzania tumeshindwa, tunaposhindwa ni lazima tuwawachie wanaoweza.
Unamuona Kagame ni mjinga kuwawachia DP World?
Waulize madereva waliokuwa wanaenda Kigali kabla ya bandari kushikwa na DP World na sasa, wakueleze tofauti yake.
Ipoje kakaWatanzania tumeshindwa, tunaposhindwa ni lazima tuwawachie wanaoweza.
Unamuona Kagame ni mjinga kuwawachia DP World?
Waulize madereva waliokuwa wanaenda Kigali kabla ya bandari kushikwa na DP World na sasa, wakueleze tofauti yake.
Walikuwa wanakaa Kigali mpaka mwezi kungoja kushusha mzigo, siku hizi ni siku hiyo hiyo.Ipoje kaka
Hebu funguka
Safi snWalikuwa wanakaa Kigali mpaka mwezi kungoja kushusha mzigo, siku hizi ni siku hiyo hiyo.
Mlivyo hamna akili bado hamtambui kuwa mmeshafeli?Kwa uchache bandari zetu kavu ni mabomu. Tazama bandari kavu mpya inayoendeshwa na DP World Kigali [emoji1484]
Halafu kuna wajuba wachache wenye chuki za kijinga wanajaribu kuzuwia maendeleo.
View attachment 2656975
now I understand kwanini kagame alikuja bongo majuzi hivi. hata hivyo, atakuwa mtumwa wetu kama akiunganishwa na dar port. kiukweli, uwekezaji kwenye hii bandari ni muhimu, tunachokwazika nacho ni terms za makubaliano, ila uwekezaji waarabu wapewe tu. ila kutuambia tusijenge bandari nyengine tutegemee ya kwao tu, ni ujinga gani huo?Kwa uchache bandari zetu kavu ni mabomu. Tazama bandari kavu mpya inayoendeshwa na DP World Kigali ๐๐พ
Halafu kuna wajuba wachache wenye chuki za kijinga wanajaribu kuzuwia maendeleo.
View attachment 2656975
Me mwenyewe muislam and I don't support the shitWaislam hawajawahi kufeli, kama unabisha muulize Mmerekani.
Shida yako unaleta Siasa.Kwa uchache bandari zetu kavu ni mabomu. Tazama bandari kavu mpya inayoendeshwa na DP World Kigali ๐๐พ
Halafu kuna wajuba wachache wenye chuki za kijinga wanajaribu kuzuwia maendeleo.
View attachment 2656975