Halafu kuna wajuba wachache wenye chuki za kijinga wanajaribu kuzuwia maendeleo
You loose your legitimacy
.
Hauko katika nafasi yoyote ya kimaadili ya kuelimisha kihalali, kwamba wananchi wanaokosoa uwekezaji uliowekwa hawana msingi wa kuhoji juu ya hatima ya nchi yao. Kwa sababu wao ni weusi.....
Kwanza, kwa kuwaita "Wajuba" unaashiria wao ni watu weusi, yaani ni watu wenye ngozi nyeusi na huo ni Ubaguzi dhidi yao,yetu.
Pili, kwa kuwalaani na kuwaita wanachuki na ni wajinga.... ni dharau kubwa sana, (ulaaniwe)kwa maneno mengine ni njia nyingine tu ya kuwanyima haki zao/zetu halali, haki ya kuwakataa watu waliotutesa, kutubaka, kutuua na kututenganisha na mababu zetu... Haiingii akilini kuwa Watu ambao wametawala kwa karne nyingi... Chini ya mwamvuli huo huo wa kutu-staha-arabisha na hivyo kutuletea Maendeleo, waje waendelee kwa mwamvuli huo huo! Hii peke yake ni dhana potofu.
Hata hivyo, "chuki" waliyo nayo,tuliyonayo inaweza kuwa halali kama inavyoweza kuwa.
Waarabu ni madhalimu.
Yaani kuwashusha jamii nzima inayopinga "uwekezaji" huu unaonekana kwa udhahiri ukienda kuwanyonya watu hao kuwa ni "Wachache" na hivyo kuashiria kuwa, kwa sababu ya uchache wao, basi wanakosa haki stahiki kuhoji! Huo ni Ukimbari, ni unyanyapaa! Ulaaniwe tena na tena.
Yaani, unawaita "Wajuba" kuashiria Uweusi waliokuwa nao, tayari umefanya kitendo cha kuwatenga kwa ngozi! Unadai ni wachache, wajinga na wanachuki! kwa mantiki ipi zaidi kama sio kutumia lugha ya unyanyasaji tu?
Inastaajabisha bado, katika karne hii, kuona au kusikia lugha chafu kama uliyotumia-that any resistance is a resistance to Development? It is abhorring
...