Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Naona wanaume yakle maazimio ya kikao cha wanaume yanafanyiwa kazi sasa.

Ila lile la tusiwaoe naona ndio limeshika hatamu. Oeni jamani watu watazeeka bure'
 
Naona wanaume yakle maazimio ya kikao cha wanaume yanafanyiwa kazi sasa.

Ila lile la tusiwaoe naona ndio limeshika hatamu. Oeni jamani watu watazeeka bure'
Hapana tutaoa wenye unafuu lakini hatutawaamini kwa asilimia 100, yaani ni kuwaamini kwa asilimia 10 tu nyingine tunabaki nazo wenyewe
 
Umemaliza yooote[emoji28][emoji120]
 
Wake zetu na mama zetu Wana nafasi njema mbinguni
 
@moderators futa huu uzi ni uchonganishi mkubwa
I agree Mkuu,wamekuja ku destroy peace humu, kuwe na topics za wanawake peke yake, na topics za wanaume peke yake...@Moderator futa huu upuuzi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…