Fatma Karume ataka uondolewe ukakasi kwenye mchango wa gari la Lissu ndio achangie

Amandlaaaaaa, umkomthowesizwe [emoji123]
 
Waambie hao wasiyo amini
 
Hata ukijinyonga kajinyonge tu maana huna faida yoyote kwenye jamii ya watanzania.
 
Wewe ni zaidi ya nguchiro
 
Bima huwa ni mwaka moja tuu, hii gari ya Lissu ilikuwa polisi tangia September 2017kwa hiyo bima ili expire zamani sana na Polisi siyo jukumu lao ku renew
Unakosea. Malipo ya Bima ni wakati tukio lilipotokea, sio baada. Ukiongelea Bima baada ina maana angeendelea kulipa Bima baada ya gari kuharibiwa.

Na pia kuna vigezo kwa Bima kulipa - wanaweza kulipa ili lifanyiwe matengenezo, kwa sababu wanaweza kusema gari sio right off
 
Fatima aelimishwe. Lengo ni kwamba gari lisitengenezwe ili libaki kama kumbukumbu ya harakati za demokrasia katika kipindi cha Magufuli. Michango haifanywi kwa kuwa Bima hawajalipa au hawatalipa, au Tundu amesema hawezi kutengeneza. Tundu ameombwa asilitengeneze gari na achangiwe jingine ili hilo lenye matundu 30 ya risasi libaki kama memorabia.

Mfikishieni Fatma huu ujumbe ili achangie kama anataka kuchanga
 
Tatizo kubwa la JF ni kuwa kila mtu ana haki ya kuitwa mwana JF na kutoa maoni yake
 
Hajaombwa mchango na wala sio lazima yeye kuchanga wanao jisikia kuchanga bila kihoji watanga tuu
Ni kweli kuchangia siyo lazima, lakini usisahau kuwa Tundu Lisu ni mwanasiasa, kila kinachofanywa na mwanasiasa ni hoja.
Maana kuna siku mwanasiasa aweza kuwa kiongozi wa jamii.
Aje hadharani ajibu, ndiyo siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…