joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Unajua Yanga wameandika barua TFF kwamba hawamuoni Fei,ile barua ina maana kubwa sana kwani Feisal mpaka sasa bado mkatataba wake umebakia mwaka na nusu, sema wanasheria wake Fei wanamdanganya.Ile barua bado TFF hawajapanga siku ya kuisikiliza,kwani Fei atapewa adhabu na kurudi kuitumikia Yanga kwa sehemu ya mkataba uliobakia (mwaka na nusu).Umebaki mwaka 1. Aondoke bure, Kuna timu italeta ofa kubwa kweli mezani?
Hivi yupo kambini?Hilo litafuata baadae kwa kuchukuliwa sheria ila kwasasa Yanga inaendelea kutekeleza yaliyomo kwenye mkataba wake ili akose sababu.
Hawana hasara yoyote, wao wana wachezaji zaidi ya 25Na kwa Yanga?
weka hoja za kuonesha ameonewa kwa kuweka vifungu tuoneUonevu tu. Waweke hoja zilizobishaniwa na rejea za vifungu kila mtu aone.
Yanga wanalipa kutokana.na masharti ya mkataba. Hawafanyi Kama fadhila. Fei yupo yanga bado na huo mfano wako wa umeme kukatika hauingii hapo. Fei hajaondoka Yanga.Unaweza lipia bili ya umeme uliokatika/haupo sababu ulishatenga bajeti?
Asiporudi? Ni rungu gani kubwa linaweza mkuta kutoka TFF au Yanga?Unajua Yanga wameandika barua TFF kwamba hawamuoni Fei,ile barua ina maana kubwa sana kwani Feisal mpaka sasa bado mkatabakia mwaka na nusu, sema wanasheria wake Fei wanamdanganya.Ile barua bado TFF hawajapanga siku ya kuisikiliza,kwani Fei atapewa adhabu na kurudi kuitumikia Yanga kwa sehemu ya mkataba uliobakia (mwaka na nusu).
Katafuteni Intv aliyo ifanya Rage YouTube ndio mtaelewa, iliyo barua ya pili ni mtego mwengine wa kisheria wa Fei na yy kishajaa.
Wakati wenzio wanasoma sheria wewe ulikuwa unawinda ndege na Mzee wako mashambani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ujue kwenye sheria hawa wanasheria wanakuwa wanabobea katika kusimamia kesi za aina fulani,mfano kuna ambao wanaziweza kesi za mashamba,wengine kesi za kisiasa,wengine za Jinai n.k
Nilipoona mwanasheria wa Fei ni Fatma karume nikasema tu hapa yaleyale hela imeshaenda maana sidhani kama Fatuma ana uwezo wa kuchambua vifungu vya kimichezo vya FIFA kiuweledi kabisa,sidhani maana simjui kiundani ,tatizo limeanzia hapo
Hata kama watamlipa mshahara na hachezi?Hawana hasara yoyote, wao wana wachezaji zaidi ya 25
Hayupo kambiniHivi yupo kambini?
Fei yupo wapi? Mshahara wa mwezi huu uliopita aliupokea?Yanga wanalipa kutokana.na masharti ya mkataba. Hawafanyi Kama fadhila. Fei yupo yanga bado na huo mfano wako wa umeme kukatika hauingii hapo. Fei hajaondoka Yanga.
Kupigwa faini au hata kufungiwa na kurudi kuitumikia club yake kwa sehemu ya mkataba uliobakia (mwaka na nusu).Mpaka sasa Yanga hawajui Fei yupo wapi.Asiporudi? Ni rungu gani kubwa linaweza mkuta kutoka TFF au Yanga?
Mshahara anapokea?Hayupo kambini
Hii sio kesi ya Jamhuri dhidi ya Yanga, Kuna kesi na shauri na wenye shauri lao watapewa nakala ya maamuzi ya shauri lao, wakitaka wataweka public wasipotaka huna mamlaka ya kuambiwa wewe au umma vipengele walivyotumia. Yanga na Fei ndio wanaopewa nakala zao na usiwe bendera fata upepo. Sio kila kesi lazima iwe public, Kuna mapitio mengine yanabaki siri kwa wenye mashauri hayo.Sio kuruka live, mimi nimehoji kwanini swala la kutoa mchanganuo wa maamuzi yaliyopelekea kundismmiss hiyo review yafaanyike gizani? yani lihusishe pande mbili zilizohusika bila wana habari na wananchi kufahamishwa
Swala la Manara lilitolewa uamuzi public na kila mtu alisikia, why hili la Fei waliweke confidential?
BTW swala la kuruka live lipo nchi nyingi sana, na juzi nilikuwa naangalia case ya Kodak Black. Kesi ya Young Thug na Gunna zote zilikuwa live na clip ninazo, so what's your point?
Kasemaje? Edo niliacha kumfuatilia baada ya kuona kaacha kuwa mwanahabari kaamua kuwa shabiki wa Arsenal....nilimfuata kama mwanahabari kwenye kurasa zake.Nimependa alichozungumza yule jamaa yake jaydee sijui anaitwa edward kumwembe,ushauri wake mzuri japo mimi simtambui kama mchumbuzi
Dogo mpira ndio umeishia hapo. Akaungane na Kamanda wa connection visiwaniAnapewa mil 4,anakula ugali na chumvi then alikuwa na uwezo wa kulipa 110m Yanga bila kufuata utaratibu na kwenda Dubai kutrain na trainer mkubwa anao watrain wachezaji wanaocheza ligi kubwa ulaya.
Hamna logic kabisa, bi mkubwa alizani ana mtetea mwanae kumbe kamwaribia.
Faini inaweza kuwa zaidi ya kile alichokiweka kwenye akaunti alipotaka kuvunja mkataba? Najaribu kutafuta "WIN" ya yanga.Kupigwa faini au hata kufungiwa na kurudi kuitumikia club yake mwa sehemu ya mkataba uliobakia (mwaka na nusu).Mpaka sasa Yanga hawajui Fei yupo wapi.
Kwanini? Mkataba ukiisha akaperfom huko aendako na kwenye timu ya taifa utajisikia hasira?Dogo mpira ndio umeishia hapo
Faini inaweza kuwa ya kawaida, ila mchezaji kukaa nje bila kucheza ni zaidi ya faini.Faini inaweza kuwa zaidi ya kile alichokiweka kwenye akaunti alipotaka kuvunja mkataba? Najaribu kutafuta "WIN" ya yanga.