Fei Toto agonga mwamba TFF, bado ni mali ya Yanga

Fei Toto agonga mwamba TFF, bado ni mali ya Yanga

Kwanza sio kweli kuwa mdaiwa aliridhia wasome hadharani na hata ushahidi wa hili najua huna, umeandika tu kuifamya stori yako iwe convincing...
Kwahiyo mama yake Fei ndio sheria za TFF? Yaani ukitaka mahakama iandike hukumu kwa lugha unayoitaka wewe ufanye hivyo kwakuwa unataka Dunia nzima ijue?

Mbona mnakuwa wagumu kuelewa vitu vidogo kiasi hiki. TFF hailazimiki kuendesha mashauri yake hadharani, ila ikiona inafaa inaweza kufanya hivyo.

Unaijua lugha ya mahakama vizur? Basi kajifunze ujue kuwa kwasasa ndio limekuja ombi hizi hukumu zitolewe kwa lugha zote 2 rasmi.
 
waende mahakama ya soka afrika

mama hakuna anacho jua, anahangaika tu....
Mimi hata hiyo hiyo mahakama naona inatosha

Ila waweke kila kitu mezani kubainisha hukumu imetolewa kupitia references za vifungu gani watu tujue

Hili swala la kufanya vitu kizani ndio ishu nayoikataa.
 
Mimi hata hiyo hiyo mahakama naona inatosha

Ila waweke kila kitu mezani kubainisha hukumu imetolewa kupitia references za vifungu gani watu tujue

Hili swala la kufanya vitu kizani ndio ishu nayoikataa.
usiropoke usichokijua,kwenye shauri kuna hukumu na mwenenendo wa hujumu,kwanza hutolewa hukumu na baadae wahusika hupewa mwenendo wa hukumu,acha kujamba hovyo
 
Kwahiyo mama yake Fei ndio sheria za TFF? Yaani ukitaka mahakama iandike hukumu kwa lugha unayoitaka wewe ufanye hivyo kwakuwa unataka Dunia nzima ijue?...
Nani kasema mama yake Feisal ndio sheria za TFF?

Unajua kusoma na kuelewa kusudio la hoja limelenga nini?

Hujaona hapo nilikuwa najibu hoja ya mdau anayesema swala la mchanganuo wa maamuzi kuwekwa public ni mpaka muhusika akubali

Huoni mimi kumtaja mama mzazi wa Feisal ilikuwa ni jibu la Kuonesha kuwa wahusika walitoa idhini ya hilo jambo kuwa public?
 
usiropoke usichokijua,kwenye shauri kuna hukumu na mwenenendo wa hujumu,kwanza hutolewa hukumu na baadae wahusika hupewa mwenendo wa hukumu,acha kujamba hovyo
Hiyo hukumu inashindikana vipi kutolewa ufafanuzi jinsi sheria ilivyo hukumu?

Kesi ya Morrison na press ziliifanyika ina maana walivunja sheria?

Kwanini swala hili liwe siri?
 
Hiyo hukumu inashindikana vipi kutolewa ufafanuzi jinsi sheria ilivyo hukumu?

Kesi ya Morrison na press ziliifanyika ina maana walivunja sheria?

Kwanini swala hili liwe siri?
Nimetoka kumaikiliza F Karume anasema hajapata nakala ya hukumu na sababu ila akishapata Fei atatoa maelekezo baada ya yeye kushauri.
 
Nimetoka kumaikiliza F Karume anasema hajapata nakala ya hukumu na sababu ila akishapata Fei atatoa maelekezo baada ya yeye kushauri.
Hoja yangu mimi ni kwanini hiyo hukumu isiwekwe open kila mfatilia soka ajue?

Kuna madudu ambayo TFF imefanya na haitaki watu wayaone kwasababu wataonekana hawajafanya haki?

Mbona kesi za kina Morrison kila kitu kilikuwa wazi?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hoja yangu mimi ni kwanini hiyo hukumu isiwekwe open kila mfatilia soka ajue?

Kuna madudu ambayo TFF imefanya na haitaki watu wayaone kwasababu wataonekana hawajafanya haki?

Mbona kesi za kina Morrison kila kitu kilikuwa wazi?
Nadhani watatoa hiyo nakala ya hukumu kwa wahusika J3 kama nilisikia vzr. Baada ya hapo kila kitu kitakuwa wazi, unleas wahusika waamue vinginevyo.
 
Hoja yangu mimi ni kwanini hiyo hukumu isiwekwe open kila mfatilia soka ajue?

Kuna madudu ambayo TFF imefanya na haitaki watu wayaone kwasababu wataonekana hawajafanya haki?

Mbona kesi za kina Morrison kila kitu kilikuwa wazi?
Umekurupuka bro.. Wamesema hayo ni maelezo ya awali huyo fei wako atakula nyundo mpaka hutaamini.
 
Nadhani watatoa hiyo nakala ya hukumu kwa wahusika J3 kama nilisikia vzr. Baada ya hapo kila kitu kitakuwa wazi, unleas wahusika waamue vinginevyo.
No

Hata kwenye maamuzi ya kwanza ilifanyika siasa ya namna hiyo then wakatuacha high way

Zaidi tulisikia manung'uniko kutoka kwa mawakili wa Feisal wakisema kesi iliyofunguliwa sio ile iliyohukumiwa

Kama utakumbuka Yanga walifungua kesi kuhusu Feisal kuvunja mkataba, lakini maamuzi yakaja vice versa kuwa Feisal ni mchezaji wa Yanga

Watu ndio wakawa wanahoji, kama Feisal alikosea na hukumu imeonesha kakosea kwanini hakupewa adhabu ma badala yake ameambiwa arudi Yanga?

Hayo ndio maswali ambayo tulitegemea watu wayaulize siku ambayo TFF wanatoa ufafanuzi wa sheria iliyotumika

Ila kitendo cha TFF kuweka usiri ndio kunaibua maswali mengi na kuhisi kuna sintofahamu imefanyika hapo kumhadaa mchezaji
 
Hayajitoshelezi. Toa elimu mtaalam usaidie wengine. Sheria ipi inayotumika kuongeza muda wa mkataba zaidi ya muda uliopo kwenye mkataba na ni katika mazingira yapi hiyo sheria inatumika?
Dogo hajautumikia mkataba wake ile barua ya Yanga kwa TFF ni mtego itafika mda Yanga watadai mda amabao Fei hakua eneo lake la kazi firikia hii kesi ikienda CAS inaweza chukua miezi 6 ikitokea akashindwa atahesabiwa mda wote ambao hakuwa na timu means itabidi alipe huo mda watalipana vipi? tusubiri tuone

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Umekurupuka bro.. Wamesema hayo ni maelezo ya awali huyo fei wako atakula nyundo mpaka hutaamini.
Maelezo ya mwisho wamesema watapewa wahusika pande mbili (Feisal na Yanga)

Sasa ungeelewa hoja yangu umezungumzia TFF kuwasilisha public kama ilivyofanya kwenye kesi zingine ambazo ilialika hafi waandishi wa habari kuuliza na maswali basi usingeandika hivi ulivyoandika.
 
Mpira wetu una mambo mengi ya kipuuzi sana mchezaji hataki kubaki kwenye timu muache aende aka pambane huko
 
Dogo hajautumikia mkataba wake ile barua ya Yanga kwa TFF ni mtego itafika mda Yanga watadai mda amabao Fei hakua eneo lake la kazi firikia hii kesi ikienda CAS inaweza chukua miezi 6 ikitokea akashindwa atahesabiwa mda wote ambao hakuwa na timu means itabidi alipe huo mda watalipana vipi? tusubiri tuone

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sahihi
 
Back
Top Bottom