Fei Toto agonga mwamba TFF, bado ni mali ya Yanga

Fei Toto agonga mwamba TFF, bado ni mali ya Yanga

Unachotaka kiwekwe wazi ni kipi?

Maamuzi ya TFF, au mkataba wa Feisal na Yanga?
TFF lazima ieleze ni kivipi mkataba umekiukwa na sheria ipi iliyovunjwa inayomfanya Feisal aendelee kuwa chini ya umiliki wa Yanga

Mfano kesi ya Morrison walibainisha mkataba ulikuwa una mapungufu upande wa tarehe na sehemu ya mihuri, wakataja na vitu vingine kibao na vifungu vinavyo hukumu

Why ishu ys Feisal ifanyike gizani?
 
Taarifa iliyotolewa na TFF imeeleza kwamba mzee wa Ugali na sukari ameangukia pua

Hii ni baada ya TFF kukosa msingi wa kisheria wa kubadili uamuzi wake wa awali...

b16c33a3-3c34-402c-b775-292ddb8d8762-jpeg.2535203
Hapa hakuna huruma...ni suala na nyeupe nyeusi...IWE FUNDISHO KWA WACHEZAJI WENGINE...KUHUSU UJINGA UJANJA WA KUTAKA UTAPELI...
 
Watu wanapotoa uwanja mpana wa kutaka utoe mifano ili kuthibitisha, lazima nitoe

Hizo ni kesi ambazo nazifuatilia so inapotokea mnabishana kuwa hakuna swala la live kwenye ishu ya kesi na ukaombwa utoe mifano, sioni kama ni kosa kutoa mfano wa hivyo
Kuna sehemu unapugukukiwa uelewa mahakama zetu zina ruhusu camera ndani ya mahakama?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Nimependa alichozungumza yule jamaa yake jaydee sijui anaitwa edward kumwembe,ushauri wake mzuri japo mimi simtambui kama mchumbuzi
Hakuna mchambuzi wa mpira nchi hii kwa hawa Vijana wa kuwashinda EDO KUMWEMBE na HAJI MANARA.

Hao ni wachambuzi haswa, huyo Manara anajua kuchambua mpira si kitoto.
 
Na hii tunayojadili hapa, ni kesi ya Feisal inayohusu mkataba. Maamuzi ya TFF yapo hapo juu kwenye post ya mleta mada!

Sio kesi zote zinazohusu mkataba zinafanana. Na ndio maana maamuzi pia hayafanani.
Maamuzi ambayo yapo supported na explanation ipi ambayo kila mtu anaweza kupima kusema kweli alikosea?
 
Kesi ya Morrison ilikuwa ni dhidi ya TFF? Mbona waliitisha press kutoa ufafanuzi?
Hayo yalikuwa maamuzi yao ambayo mdaiwa aliridhia hukumu yake isomwe hadharani ambaye alikuwa Morrison, nakala ya hukumu haitindikwi tu kama ni mali ya umma.

Ndio maana wameambiwa wakachukue Jtatu nakala zao wakizihitaji, Sasa wao wakiamua kuwawekea msome vifungu walivyotumia ni hiari yao, na kama Sheria inakuruhusu unaweza kwenda kuomba nakala ya hukumu hiyo utapewa.
 
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mira wa Miguu Tanzania (TFF) imekutana leo tarehe 2 Machi, 2023 kwa ajili ya kusikiliza pamoja na mambo...
Nyuma ya sakata la huyu dogo kuna dubwana kutoka mikumi/Serengeti ndio chanzo,na sio mala Moja,yalianza Kwa morisson,.
 
Wakati wenzio wanasoma sheria wewe ulikuwa unawinda ndege na Mzee wako mashambani...
Nimetoa mfano tu kenge wewe, kuna migogoro ya mashamba(ardhi)kunakuwa na wanasheria wabobezi katika sekta hiyo mfano kampuni ya sheria ya Madega ni maarufu kwa kesi hizi

Sio wote lazima tuwe wanasheria maana kozi niliyosoma mimi inanilipa mara tano ya wanasheria wengi wanavyolipwa hapa nchini..

Na huko CAS asiende kabisa msiendelee kumpoteza dogo wa watu,akifika huko akishindwa kesi atakachokipata atajuta maana huko watataka nakala ya hukumu ya TFF kwanza na TFF watatakiwa watoe maelezo kwa upande wao kuhusu hiyo kesi na kama point zao zina mashiko usitegemee kama Fei atasikilizwa kitakochofuata ni faini kubwa sana atauzz nyumba yake ya Fuoni ile
 
Hayo yalikuwa maamuzi yao ambayo mdaiwa aliridhia hukumu yake isomwe hadharani ambaye alikuwa Morrison, nakala ya hukumu haitindikwi tu kama ni mali ya umma. Ndio maana wameambiwa wakachukue Jtatu nakala zao wakizihitaji, Sasa wao wakiamua kuwawekea msome vifungu walivyotumia ni hiari yao, na kama Sheria inakuruhusu unaweza kwenda kuomba nakala ya hukumu hiyo utapewa.
Kwanza sio kweli kuwa mdaiwa aliridhia wasome hadharani na hata ushahidi wa hili najua huna, umeandika tu kuifamya stori yako iwe convincing

Kama ulimsikia mama yake Feisal kabla ya kesi aliitaka TFF iweke kila kitu wazi tena akiweka msisitizo kuwa watumie kiswahili ili kula mtua ajue

Lakini bado wamezidi kuifanya hii kesi kuwa ya siri, sijajua hofu yao ipo wapi watu wakijua
 
Kwanza sio kweli kuwa mdaiwa aliridhia wasome hadharani na hata ushahidi wa hili najua huna, umeandika tu kuifamya stori yako iwe convincing...
Waende mahakama ya soka Afrika.

Mama hakuna anacho jua, anahangaika tu.

Mkuu mkataba wa kiingereza uletwe kwenye kiswahili huwa unapoteza maana wakati mwingine (uchache ma maneno ya kiswahili).

Fei anao mkataba na atapewa nakala ya hukumu aweke hadharani.
 
Back
Top Bottom