Forex: Sandile Shezi kutoka South Africa kawapiga na kitu kizito wanafunzi wake yeye huyo Asia

Sawa mkuu.
Ngoja nikimalizana na ujana na takataka zote nikitulia nijifunze. Nitakuletea mrejesho au sio?

Hata Deci, Kalynda, Mr. kuku, Qnet na network marketing kuna watu walipiga hela that doesn't mean sio pyramid scheme. Kwenye pyramid wale wajuu watapata tu wakati wengine wakiuziwa ndoto, however more power to you Mkuu unapoenda kujaribu. Good luck
 
Na kweli dear Mimi na uvivu huu nshafeli

Bora wewe una uvivu. Mimi napenda umbea.
Nikiwa free naanza kwa Mange, nikitoka naenda Insta, nikitoka naenda YouTube halafu naenda tiktok hadi bando liishe.

Kwa namna ninavyoona vijana wa forex wanavyosoma kila ukimkuta ni ma candles tu nikajisemea hapa nisipoacha umbea hii ngoma sitaiweza.
 
Na ni uhakika pia inaweza collapse kabisa
 
Hata Deci, Kalynda, Mr. kuku, Qnet na network marketing kuna watu walipiga hela that doesn't mean sio pyramid scheme. Kwenye pyramid wale wajuu watapata tu wakati wengine wakiuziwa ndoto, however more power to you Mkuu unapoenda kujaribu. Good luck

Mwanzo mimi nilikuwa mbishi sana kuhusu Forex sana. Tena nadhani hadi nyuzi za kumnanga ontario nilikuwa nachangia kumnanga kisawasawa.

Ila akili ilikuja kubadilika wapi? Kuna watu ambao nawajua, na sijawajulia mitandaoni nawajua ni kama familia ya karibu. Wamemaliza chuo hamna ajira wakajifuza na bado wanajifunza ila wanaendesha maisha yao kwa hiyo hiyo forex hawana kazi nyingine.

Na ninavyokwambia hauwezi kuwakuta mtandaoni wanaandika chochote kuhusu forex. Hawafundishi wao ni kusoma na kutrade tu. Sio matajiri ila wanaendesha maisha yao. Wanalipa kodi na wanakula na wanavaa siku zinaenda.

Hawa ndio wamenibadilisha mtazamo niliokuwa nao juu ya forex.
 
Kuanza darasa la kwanza hadi na maliza chuo ni miaka 17 sijui mtaani kukoje. Nimekuja mtaani maendelea na hatua niliyo piga ndani ya miaka 2 inazidi ambaye ame pambana ndani ya miaka 15

Jamaa zangu wamesoma na kusota kitaaa miaka mitatu hadi minne walivyo pata job mwaka mmoja mbele hagusiki yuko mbali kimaendeleo kumzidi aliye mtaa miaka 30 na wapo private usije sema wanaiba kodi za wananchi
Elimu ni muhimu ila inategemeana umesoma nini ila kwa upande wetu Accoutant kutoboa ni dakika tu kama kufunua panzia
 

Safi Sana, good for them. Ukiingia huko tread carefully usije anzisha uzi wa majuto 😀. Kila la kheri mkuu
 
Umemaliza chuo na bado unaandika ''machachali'', ''kengere'', ''sifuli'', etc?
 
Kusema forex ni gambling inaonyesha jinsi usivyo na uelewa kuhusu forex trading.
Kusema forex ni get rich quick scheme inaonyesha jinsi usivyo na uelewa kuhusu forex trading.
Wengi mnaijulia forex kwa kuhadithiwa au kwa kusoma articles kwa vidampa ambao ni online writing freelancer hawana ujuzi wala hawajawahi kutrade wanatafuta tu contents za kunasa vidampa wengine.
Tembelea fxstreet, myfxbook, bloomberg ukutane na Professional Traders uone wanavyoizongumzia forex ndo utajua hujui.
This is something Proffessional na wengi ukiwasikiliza utasikia I have been trading forex for 7, 10, 15 years we una muamini mtu ambaye kaielewa demo ana maneno ya kukushawishi unaingia kingi afu unakuja hapa kulialia hapa kalilie kwenu kwa mtu anayeijua real forex huwezi kumletea hizo lame excuse
 
Speculation is the most uniformly fascinated game. But it isn't the game of inferior mental balance, mentally lazy and get quick rich adventurers.
They will die poor.
 
Sio shida ndo maana nilifeli kiswahili nikafauli math
Mimi sikukejeli wala siyo kama najua sana. Tatizo la kutokuwa makini kuandika maneno rahisi kama hayo ni just a tip of iceburg kuwa kwenye mambo muhimu hutakuwa makini. Kurahisisha mambo namna hii kunai-cost Tanzania na watanzania, fedha na muda. Nilikwenda kuchukuwa cheti cha kuzaliwa cha mwanangu nikakuta watu wengi wanalalamikia makosa madogo kama haya. Mimi cheti cha mwanangu jina limeandikwa Malia badala ya Maria. Tafakari na jitahidi kujifunza na siyo kubishana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…