Huko nako kimeumana kumevamiwa utakutana na sheikh Ubwabwa na askofu Rashid...basi tu!Mkuu unajua maana ya siasa?? Duniani kote siasa IPO hivyo its game of chance sasa wewe ulitaka ile 2015 wasimuchukue Lowassa vile viti 100 wangepata wapi?? Hamna ukweli wowote unaweza patakana kwenye siasa na kwa wanasiasa kwa muda wrote.
Ukitaka matamko ya ukweli utayapata kwenye makanisa na misikitini.
Mkubwa anawahadaa wenzake huku yeye akipokea ruzuku kupitia mlango wa nyuma. Serikali, Mbowe na wale wabunge wa viti maalum 19 lao ni moja tu.
Ndugu yangu watia huruma. Chukua vielelezo vyako peleka kwa Nduguyai na Lijualikali watakusaidia zaidi.Anachukua kisheria ila akija kwa misukule yake anasema hatuchukui maana hatutambui uchaguzi
Ndugu yangu watia huruma. Chukua vielelezo vyako peleka kwa Nduguyai na Lijualikali watakusaidia zaidi.Anachukua kisheria ila akija kwa misukule yake anasema hatuchukui maana hatutambui uchaguzi
tena jizi na tapeli halina jipya tenWanafunzi unaowafundisha watafeli wote , wewe ni mwalimu duni
Achana na boya hana mbele wala nyuma kazi kuleta umbeya tu humu nakukimbilia kupiaga watu ban humu achunguzwe amezidi huyu mnaaKama ni hivyo basi mna serikali legevu na dhaifu kama Mbowe anajichukulia hela za Serikali hivyo na bado yuko uraiani basi ameiweka Serikali mfukoni kwake. Wakati mwingine unatokwa na povu ukiamini unaitetea Serikali kumbe unaitukanisha,upeo wako wa kufikiri ni mdogo sana.
Msukule huu hapaView attachment 1798706
Sasa mkuu MBOWE unafikiri lile ombi lako kwenda ongea na Mama litakubaliwa kwa jeuri hii..
Maongezi haya ni kwa faida ya mama , akikataa shauri yakeSasa mkuu MBOWE unafikiri lile ombi lako kwenda ongea na Mama litakubaliwa kwa jeuri hii..
Kwanza mimi sio Mbowe 🤣 kumbe weng humu hua mna doubt tuu vile mtu akiongea juu ya flan mnajua ni muhusika. BTW hiyo sio jeuri ni msimamo wa chama chake, usiogope kusema ile kweli kisa utanyimwa ugali wa shikamoo.Sasa mkuu MBOWE unafikiri lile ombi lako kwenda ongea na Mama litakubaliwa kwa jeuri hii..
Sina taarifa zake recentlyKwani Musiba mwenyewe anasemaje?
YAANI mnamwenyekiti ambaye hamumjui vizuri huyo ni mpigaji achana naye kabisa mwenzenu ananufaika na hao wabunge 19 nyie mnashinda kwenye mitandao mtaolewa mwaipaya na mwenyekiti pambalu
acha uzwazwa we kima account ileile ya zamani ndiyo mzigo huwa unaingizwa humo kumbe mmedanganywa ili makengeza le ruzuku vizuri?? hamna akiliNi hivi , vyama vyenye haki ya kupata ruzuku hutakiwa kupeleka namba ya akaunti ya benki iliyothibitishwa na baraza la wadhamini kwa Msajili wa vyama vya siasa , hili hufanyika kila baada ya uchaguzi mkuu kwisha , kwenye akaunti hiyo ndiyo huwekwa hela za ruzuku , Chadema wala baraza lake la wadhamini hawakuwahi kumpatia Mutungi akaunti mpya ya chama , hizo hela kaweka wapi ?
Nyumbu hovyo kabisa, kila anapoingia mwamba wao nao wanazama bila kufikiri.Mbowe hata akichukua ruzuku hawezi kuwaambia wafuasi wake maana alishawageuza misukule
YAANI mnamwenyekiti ambaye hamumjui vizuri huyo ni mpigaji achana naye kabisa mwenzenu ananufaika na hao wabunge 19 nyie mnashinda kwenye mitandao mtaolewa mwaipaya na mwenyekiti pambalu