Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Sio huHuraaaaaaaaaaaaaaaaa
Ni uraaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio huHuraaaaaaaaaaaaaaaaa
wakija ccm naanayake ni kweli walikuwa wala rushwa maana ccm ni jungu kuu la rushwaLissu hawezi kukaa na watu alio waita wala rushwa ndani ya CHADEMA, tena wote watakuja CCM, jipe one week uone
Mimi mkristu ulinibatiza wewe?Sikushangai Kwa sababu wewe mkristu. Hamnaga busara nyie watu. Ila nimekusamehe.
🙏🙏🙏🙏🙏
Mkuu, kama Uchaguzi Mkuu wa Nchi unge endeshwa hivi, hali ya Nchi ingekuwaje Wakuu?This is democracy
Mwambie mama Abdul asitumie polisiHuyu si alienda Ngorongoro akapigwa pini? Kimsingi hana jipya na usitarajie jipya ,Niko hapa kuwakumbusha msije tuu kukimbia jukwaa.
Kwa kweli pamoja na kwamba niko na Lissu ila Mbowe kukubali matokeo na kumpongeza Lissu ni level zingine za ukomavu wa kisiasi ndani ya nchi zetu hiziImagine FAM angekubali tu kumpa Chama Lissu Bila Yeye Kugombea, Chama Kingereza Kushika attention katika akili za watanzania?
Uchaguzi Umekuwa wa Huru na Haki? Yes!
FAM amekubali Matokeo? Yes!
Aibu Iko wapi hapo? Zaidi sana Chama Kimejiuza Mnoo!
Utadhani Dodoma Hakukua na Mkutano wa CCM kwa namna ambavyo Chadema ilivyoshika media zote
Kwamba aliapa Ili kuachwa mpuuzi mmja avuruge amani au? Samia sio kima kama nyie.Mwambie mama Abdul asitumie polisi
Kwani uchaguzi wa 2025 ni wa rais pekee? Hakuna wabunge? Hakuna madiwani? Au wasisimamishw mgombea kwenye nafasi zote wakisubiria 2030?Chadema ijipange kwa uchaguzi wa 2030, huu wa mwaka huu ni Samia mitano tena, usijipe matumaini yasiyokuwepo.
Yes ... Ni Ukomavu wa Hali ya Juu sana!Kwa kweli pamoja na kwamba niko na Lissu ila Mbowe kukubali matokeo na kumpongeza Lissu ni level zingine za ukomavu wa kisiasi ndani ya nchi zetu hizi
Old School, this is too low for you!!Lisu ana nini? masikini a kuchngiwa. Yeriko has nothing to loose!
LEMA ni kiongozi mzuri.
Mpango umevurugika Lisu ndiye kajipangia kuwa mgombea uraisiSasa ni muda muafaka Mpina kuhamia huku!!! Rais Mahiri atatoka CCM.
We mzee, upo?A new era
Tatizo kibunda, alishatafuna ngawira za wajinga ikabidi atafute balance ya mchezo.Mbowe alishindwa kuusoma upepo toka mwanzo,angeweza kuikwepa aibu hii kwa kutogombea, mwisho yamemkuta.