Dawa imewaingia na imekaa kunako

Mapinduzi ya kimaendeleo yaliyofanyika ndani ya miaka minne hii utakuwa mjinga kama ukaendelea kupinga

VIVA Magufuli
Maendeleo gani, uchumi umekua zaidi ya watangulizi wake. Naona hotuba ya leo haijaongelea kabisa maendeleo ya kilimo yanayogusa 80 pc ya watanzania.
 
Mbowe ni Professor wa siasa Afrika
 
Mbowe na chadema waomba POO kwa JPM. Hii ndio stori.
 
Lini chadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtambui,bungeni alipoenda Kama Raisi walitoka kumkataa.

Watoe kwanaza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.

Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?
Ila leo Mbowe kamuita mheshimiwa Rais maana yake keshakubali yaishe
 
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa Mbowe ameenda Mwanza kibwege bwege. Na sio yeye tu, yaani Heche, Mnyika, Sugu, Lema, Boniface waende Mwanza bila kuwa na jambo la maana? Sidhani
Wameenda kuomba POO.. si mchezo JPM.
 
Mbowe ni Professor wa siasa Afrika
Hapana kwa kweli sema Mbowe sasa amegundua kwenye kuzira alikuwa anachemka. Kuomba maridhiano maana yake ameinua mikono na kiburi sasa kimeisha
 
Unaenda kumpigia magoti mtu aliyemtandika risasi 38 nduguyo utadhani anaua CHATU na kama haitoshi akaendelea kumshughulikia vivyo hivyo huku akiwa hoi kitandani.

CHADEMA hakuna kitu
Unaweza kuthibitisha hoja yako hii mahakamani, au ndio ukipandishwa kizimbani unaanza kuji*ea !ny*ea na kutesa familia
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amempongeza Rais John Magufuli kutokana na juhudi mbalimbali anazozifanya katika kuliongoza taifa.
Mkuu hapa umetuchapa, msikilize tena Mbowe.
Akizungumza katika maadhimisho ya sherehe za miaka 58 ya uhuru wa Tanzania bara yaliyofanyika kitaifa jijini Mwanza, katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mbowe amesema kuna ulazima wa kuwepo maridhiano na mshikamano ili taifa lizidi kusonga mbele.
Huu ndiyo ulikuwa ujumbe wake mkuu kwa Raisi.
Mbowe amewaacha solemba makamanda
Huu ndio uongo mchana kweupe, wote tumemsikia Mbowe na mpira sasa uko kwa JPM. Amekumbushia jambo ambalo walishaliomba enzi zile za UKUTA.
Naona Lowassa na Sumaye wamemute kabisa kana kwamba hawajui kinachowasibu watanzania hasahasa wapinzani. Afadhali Bwana Yule ametia neno-HAKI.
 
Viongozi wengi wa chadema wameshaambiwa na wanasheria wao kuwa kifungo kipo njiani ndio maana wanajipendekeza ili wapate huruma


USSR
Wanajipendekeza kwa majudge au nani, maana ndio wanaosikiliza kesi.
 
Hotuba ya Mbowe yafunikwa kwa mbali sana hotuba zote za siku ya uhuru
 
Wameonesha ukomavu wa kisiasa,hakika wamekuwa kisiasa siyo kupinga pinga hata vitu vyenye maslahi kwa nchi na kujifanya kuzila zila kila kitu
 
Unaweza kuthibitisha hoja yako hii mahakamani, au ndio ukipandishwa kizimbani unaanza kuji*ea !ny*ea na kutesa familia

Una uwezo wa kumpata? Kigogo huko twitter kila siku anatukana mpaka Lugola akatoa Mkwara wa kizee eti siku zake zinahesabika, lakini mpaka leo yupo na anarusha mawe kama kawaida. Acha vitisho vya kijinga wakati mtu alikaribia kuwawakilisha na hakuna lolote la maana limefanyika kukamata waliomshambulia.
 
chadema wameshtukia kuwa mwakani washinde wasishinde hawarudi bungeni wanaanza kujipendekeza kwa mheshimiwa Magufuli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…