Nsumba ntale tz
JF-Expert Member
- Apr 19, 2016
- 713
- 762
Ukisikiliza salamu za mh. Mbowe kwenye maadhimisho ya miaka 58 ya uhuru wa Tanganyika utagundua kwa Africa kiongozi wa kariba ya Mbowe hakuna kwa busara na hekima alizonazo amethibitisha hilo pasi na shaka kabisa