Nsumba ntale tz
JF-Expert Member
- Apr 19, 2016
- 713
- 762
Hebu jaribu kutumia siku ya Leo kujitafakari jee wewe ni binadamu wa aina gani! Kisha kuwa mkweli rudi hapa na kutoa matokeo ya utafiti huo. Ukigundua una asili ya Igombe sema tuu, tutamuomba Kigwangwala akurudisheAliyefunika jana ni Bwana Mapesa
Mbona promo nyingi kitu gani hapo chakushangaza mbona mnyika aliongea Kama hivyo pale ubungo mbele ya raisi lakini pia hata heche pia ila sijaona mkiwasifia Kama MBOWE misukule ya MBOWE inamatatizo kweli.
Kuna hoja ya msingi Sana hapa Mkuu,, naomba isipuuzwe. Anyway umenena vyema.Lini chadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtambui,bungeni alipoenda Kama Raisi walitoka kumkataa.
Watoe kwanza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.
Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?
Hata ukejeli vipi, lakini ukweli unaujua. Na wenye akili wana litambua hilo.Hakika bwashee, Mbowe anafanana sana na Mugabe wa Zimbabwe barani Afrika!
Huna kumbukumbuMbona promo nyingi kitu gani hapo chakushangaza mbona mnyika aliongea Kama hivyo pale ubungo mbele ya raisi lakini pia hata heche pia ila sijaona mkiwasifia Kama MBOWE misukule ya MBOWE inamatatizo kweli.
CCM ni Chama Dola.......huyo Mbowe wenzie ni akina Rungwe na Dovutwa!Hata ukejeli vipi, lakini ukweli unaujua. Na wenye akili wana litambua hilo.
"Mbowe ndiye mwenyekiti bora wa vyama vya siasa vilivyopo TZ ikiwemo ccm kwa sasa" Alisikika Rais mstaafu mmoja akisema.
Na mtu huyo Ni Rais John Pombe Joseph Magufuli ambaye anauchukia upinzani wakati yeye mwenyewe ni zao la upinzani!!!Watz hatuna shida ila shida ni mtu mmoja
Umepigilia humo humoLini chadema walimtambua Magufuli Kama Raisi? Kuapishwa walisusa kuwa hawamtambui,bungeni alipoenda Kama Raisi walitoka kumkataa.
Watoe kwanza tamko la kumtambua Magufuli Kama Raisi.
Wanataka maridhiano na Magufuli Kama Nani kwao ?
Hebu jaribu kutumia siku ya Leo kujitafakari jee wewe ni binadamu wa aina gani! Kisha kuwa mkweli rudi hapa na kutoa matokeo ya utafiti huo. Ukigundua una asili ya Igombe sema tuu, tutamuomba Kigwangwala akurudishe
Sema Mbowe aliazimiayaan kila kitu matakaga kuji involve tuu, chadema waliaadhimia kwenye kikao chao cha ndani kihudhuria
Endelea kuota mkuuCCM ni Chama Dola.......huyo Mbowe wenzie ni akina Rungwe na Dovutwa!
Mkuu hizo ni sharehe za Uhuru wa Waanganyika bila kujali itikadi zao za kisiasa, kidini , au kijinsia. hivyo chadema kushiriki hizo sherehe hakuna usaliti wowote au unajisi wa democrasia. wameshiriki kama watanganyika na ccm wameshiriki kama watanganyika.Acha upotoshaji ww mpuuzi, cdm walisema hawatambui uchaguzi wa Zanzibar, na kilichowafanya bungeni ni kwakuwa Dr. Shein alishiriki ufunguzi ule wa bunge. Hata hivyo ushindi wa Magufuli ilikuwa ni utata mtupu. Nampongeza sana Zitto kutoshiriki hiyo sherehe na wahuni. Naalani viongozi wa cdm kushiriki kwenye sherehe pamoja na wahuni wanaonajisi demokrasia yetu.
Wewe ndio umelala usingizi wa pono!Endelea kuota mkuu