Umewahi kuona shabiki wa Liverpool analazimishwa kuishabikia man u ikiwa inacheza champions? Nyie Yanga mnacheza ila kutwa kuisema Simba. Sasa hapo wa kwanza mwenye tatizo ni nani?Ushindi wa Timu ya Africa ni halisi, maana Vikwazo ni vingi. Hivi Mashabiki wa Liverpool ujawa na ujinga huu unaoonyeshwa na baadhi ya mashabiki wasiojitambua wa Simba wakati Man Utd inapocheza na AC Milan kwenye Champions league??
Safari hii ataangukia mitako yake.Mtani huyo jamaa alishawahi kujiita Marumo pia bado akaangukia pua. 🤣🤣
Ni kuipelekea moto tu hata ikifungwa au ikishinda. Nipe mmoja nitatuma nauli niko Mwanza.Ajsee leo mishangazi ya yanga kama yote taifa...full burudani leo ni mwendo wa kuiombea yanga ishinde tuburudike.
Warembo wa yanga ebu pigeni uzi wenu alafu mteteme kama mayele
Mwanza kutakuwa na warembo wa yanga tuu, wee katulie sehemu wamejazana wanaangalia ball, muhimu kibunda kiwepoNi kuipelekea moto tu hata ikifungwa au ikishinda. Nipe mmoja nitatuma nauli niko Mwanza.
Tena akiangukia matako awepo mwanaume chini ili akianguka akajichomekeSafari hii ataangukia mitako yake.
Kibunda shazi bablai na hizi tarehe tena mbona Yanga kama walifanya timing nzuri kuingia fainali hizi tarehe 🤣Mwanza kutakuwa na warembo wa yanga tuu, wee katulie sehemu wamejazana wanaangalia ball, muhimu kibunda kiwepo
Hahahaaa. Kabisa yaani Mkuu Dr. 🤣🤣Safari hii ataangukia mitako yake.
Ndio hiyo hiyo iliyotolewa Club Bingwa au ile ilikuwa ni ya kina Yikpe?Huu ni mwaka wa visasi kwa timu zote ambazo zimeifunga Yanga siku za nyuma.
Nawakumbusha tu Yanga hii ni colabo la AS Vita, Asec mimosa na Taifa stars, hii siyo Yanga ya kina Ditram Nchimbi, Molinga na Yikpe huku bechi la ufundi Mwinyi Zahera na vikaptula vyake, unapoangalia Yanga hii usiwe na pressure kabisa.
Roho mbaya ka dingi wa kamboNa kama linahitajika kafara la roho ya mtu basi wamtowe Manara tu itapendeza zaidi.
Kwa hiyo hiki umekisevu kabisa sio?Tuazime msemo wa jiraniView attachment 2637607
Kwa hiyo hiki umekisevu kabisa sio?
🖕Kwani wewe unateseka ukiwa wapi mrembo?