Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaanzie mamelodi kwanzagoli
emu ondoa hii aibuImevuka line
Tafuta miwani MkuuImevuka line
ulimpa moyo mzabzab Ken wanapata goli 🤣. mi nilimpa ukweliSi niliwaambia hamna magoli apa leo
Mkuu mpira uvuke line halafu uende hadi nje ya goli inawezekana vipi? Ungegonga hata nguzo ya pili sio kutoka kabisaImevuka line
dhidi ya waethiopia!Huwa kila wakitoka kucheza mchezo wa CAF wanakuwa na tempo ya chini sana mechi inayofuata. Hata msimu ulioisha ilikuwa hivi hivi, kila wakitoka kucheza mechi ya kimataifa wakija mechi ya ligi wanapata ushindi kwa taabu
Hao ni IhefuHivi huyu kipa wa Ken Gold ndio huyu huyu aliyecheza michezo yote iliyopita?
Haija isha tu hii gameHawa Kengold kama wangewakamia Singida, KMC au Kagera sugar wangevuna walau alama moja 😂😂😂
Ken wamenyimwa goli laonayo ni matokeo pia
Imeisha bana 😜Haija isha tu hii game
Ngapi ngapiImeisha bana 😜
Supu 1.Ngapi ngapi