Akili za jikoni hizi.Hahahhh si tulikubaliana Aziz ki ni nguzo na mhimili wa Timu ?. Isitoshe alifananishwa had na Kina percy Tau,... Vipi tena leo mbon nje [emoji23][emoji3] ila nmesikitika kumuona nje maan Topolo wakifungwa watapata kisingizio,
Note: Niliwah kusema na leo naludia kusema haya mashindano yatamfukuzisha Gamondi kibarua,... Naona dalili zote zinajionyesha kwamba inaenda kutimia.
Unaishabikia kwasababu ya mama watoto?πUkipenda boga, penda na ua lake
Timu ya Mama watoto hii, wacha tuiombee heri tu
Kila la kheri Wananchi, pambaneni kuiheshimisha Nchi ππ
Hizo mara nyingine ulizokuwa unakosea ulikuwa hauamini?Mara nyingi huwa nakosea utabiri wangu, lakini naamini leo Yanga inashinda.
Hamna kitu zamu yetu kupindua mezaNikiliangalia bichwa la kocha wa yanga naona kabisa yanga wanaogongwa goli mbili
Unaujua mpira lakini au umeropoka tu?Medeama ni vibonde ktk hilo group, nitawashangaa wananchi wakitoka uwanjani bila point
Ilivyopiga mkono ndio Yanga ilikuwa na kitu au nini?Kwa ihefu, yanga mmekaa mara mbili, siyo kwa bahati mbaya bali ni: yanga hamna kitu.
[emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772]Kwa ihefu, yanga mmekaa mara mbili, siyo kwa bahati mbaya bali ni: yanga hamna kitu.
Champions League kuna vibonde? mbona hua hamuelewekiMedeama ni vibonde ktk hilo group, nitawashangaa wananchi wakitoka uwanjani bila point
Medeama ndio vibonde wa hilo kundi japo wana point 3...Champions League kuna vibonde? mbona hua hamueleweki
Mimi ni shabiki wa Simba Mkuu, ila yeye ni Yanga.Unaishabikia kwasababu ya mama watoto?π
Halafu kuihwahimisha nchi kivipi? Kama ni hivyo siyo wao peke yao wanaoweza kufanya hivyo. Huna mchepuko ambaye ni timu tofauti na hiyo?π
Back to the point, timu ya Madeamq inacheza mchezo wa kasi sana.
Ulikubaliana na nani?Hahahhh si tulikubaliana Aziz ki ni nguzo na mhimili wa Timu ?. Isitoshe alifananishwa had na Kina percy Tau,... Vipi tena leo mbon nje [emoji23][emoji3] ila nmesikitika kumuona nje maan Topolo wakifungwa watapata kisingizio,
Note: Niliwah kusema na leo naludia kusema haya mashindano yatamfukuzisha Gamondi kibarua,... Naona dalili zote zinajionyesha kwamba inaenda kutimia.
Sio rahisi kuondoka maana tayari kaiheshimisha Yanga kuwafunga Kolo goli 5 hadi wamejaa MAKASIRIKO KILA KONAGamondi na ule upara naona kama kibarua kitaota nyasi leo.
Mie nimewanukuu fans lia lia wa Yanga, kila siku wanaimba wao ni Wataalam wa kandanda bongo na Africa yote.Unaujua mpira lakini au umeropoka tu?