Tunataka apange kikosi cha kwanza...huo ndo weledi...apenge kikosi kinachocheza siku zote..Simba inakimbilia ubingwa hatutaki kikosi cha tatu...hiko sio saizi yetu..akipanga hiko basi nitaona ni maigizo...Leo nataka kushuhudia kwa macho yangu maigizo ya Bongo muvi. Yaani Mgunda huyu huyu kocha wetu wa akiba, akubali timu yetu kufungwa! Hata sare tu haipo kwenye mechi ya leo.
Kwa wale wazee wa kubet, hakika leo ni siku yenu ya kuvuna hela. Mpe Simba mazima hata milioni 2. Na hutojutia.
Nipe mfano hata mmoja...Tulia wewe! Mbona na nyinyi kwenye mechi zetu huwa mnatuanzishia?
NA TUTASHINDA ZOTEEEEE LABDA UACHE NDO TUTAFUNGWA....MARK MY WORDS...yeyote anaweza kuanzisha uzi mkuu,ili mradi tu ukidhi vigezo na uwawahi wenzio, sasa natangaza vita,nitakuwa silali mpaka nihakikishe nakuwa wakwanza kila mchezo wa NBC PL hasa mechi za SIMBA na YANGA
Kabisaa NAKAZIA...Usiishie kuanzisha uzi ukaona Sifa, toa updates,Vikosi na matukio muhimu
Kama wanavyofanya Scars Vincenzo Jr ngara23 .Kwanza uzi wako umekaa kishabiki Kalpana OKW BOBAN SUNZU
naomba Moderator Payge Active watusaidie kuangalia haya,hii sio mara ya Kwanza wewe kuanzisha Uzi ukaulelekeza. ukishindwa leo uzuiwe kuanzisha nyuzi za mpira live.
Leta ushahidi kuwa mmiliki wa namungo ni waziri mkuu?naomba unipe maelezo ya kina nani ni mmiliki wa timu ya SBS anaetambulika na TFF achana na yule mnaemdhani kila siku.
Hivi hii mechi ipo kweli! Mbona kama mashabiki wa Simba wameususa huu uzi! Yaani hakuna shamrashamra!! Au matokeo tayari yanajulikana?katika mwendelezo wa lLeague ya NBC PL, Mabingwa watetezi wa kombe la Muungano Simba SC watashuka dimbani kumenyana vikali kuzisaka alama tatu ugenini dhidi ya Namungo FC mjini Luangwa Lindi majira ya saa 12:15 jioni
Kila la kheri na mchezo mzuri kwa timu zote mbili.
Hii droo imekaa poa sana, refa akileta mauza uza kama kawaida yao Namungo wasikubali wamgawane maana mzaha mzaha kama hivi timu zinashuka daraja kwa ujinga za marefa, timu zinawachekea tu marefa wakiibeba kolowizard na wao kushuka daraja pointi tatu muhimu sana!ewaaaa
We jamaa hujui tumebeti??Namungo FC, please do not let me down!
Sare itakuwa poa. Ila ushindi kwa timu ya nyumbani utapendeza zaidi.
kabla ya tarehe march, 8 simba atakuwa nyuma ya yanga poiti moja. Leo ni miongoni mwa meche ngumu ya ushindani. Lolote liwakute hawa kolo.Hii droo imekaa poa, refa akileta mauza uza Namungo wamgawane maana mzaha mzaha timu zinashuka daraja wanawachekea tu marefa wakiibeba kolowizard
Hili nalo mkalitazame....Tumebishana sana jana baadae ikabidi nikae tu kimya maana kila mtu akawa ananishambulia Mimi nikajiuliza tu swali mbona ni rahisi tu kujua ratiba kupitia Instagram pages za Azam Tv, timu husika na hata bodi ya ligi, kwanini mtu anakua na haraka ya kuja kupost bila kujirudhisha kwanza?!, Hilo nalo hadi tusubiri wachambuzi kweli?!...end of the day uzi wa hiyo mechi ukafutwa nadhani walijua kuna kitu hakipo sawa
Hapo umenifumbua...ndo Nini sasa kunichanganya hivyo?nani vile kapigwa ban? Hiyo ni profile photo yangu tu.
Holoholo umeamua kuwa mnyama?katika mwendelezo wa lLeague ya NBC PL, Mabingwa watetezi wa kombe la Muungano Simba SC watashuka dimbani kumenyana vikali kuzisaka alama tatu ugenini dhidi ya Namungo FC mjini Luangwa Lindi majira ya saa 12:15 jioni
Kila la kheri na mchezo mzuri kwa timu zote mbili.