Ni bora kumchezesha yule kipa aliyetoka KMC na uzoefu wa kutosha kuliko huyu dogo asiyejua lolote, yani huyu wakianza kumchungulia vizuri ni lazima wapate goal.Huyu kipa ni vile singida hawampigii mashuti, anatema mipira sana
Leo mnacheza Nini pale Mkwakwani?? Mshukuru mbeleko ya refariiHakuna cha maana mlichocheza jana, mlikutana pwagu na pwaguzi
Kwa uchezaji huu wa Simba inaweza kuwa ngumu kidogo huko mbeleni.Hivi Uto hamuogopi ?
TehtehtehtehtehHuyu refa msenge anatudhalilisha
Mpira hauko hivyo sheikh, ukiingia hata mechi ya ndondo utapoteana vibaya sana ndugu yangu... Dakika 5 maji utayaita mma🤣🤣🤣 kibu D, dah kummke walai, mungu akiamua kukupa utapata tu, huyu kibu kwa akili ya mpira haniwezi, nikifanya matizi miezi mi3 mfululizo, nalala kwa wakati, napiga pumbu za kiaste aste 🤣 huyu kibu anaweza kufukuzwa.
Kibu nguvu kulukundu.. nguvu nyingi kuliko akili.
Yule anaitumia Yanga kama ajira portalYao Yao kapiga nyngi kama hizo jana
Una type ukiwa una burudika na mpira wa viwango sema huwezi kukubali na siwezi kulazimisha ukubaliLeo mnacheza Nini pale Mkwakwani?? Mshukuru mbeleko ya refarii
Refa atakuwa amebetimkuu kwamba huoni unabebwa
Hiki kikosi kwa asilimia kubwa ni kile cha msimu uliopita, kwakuwa bado hakuna muunganiko mzuri baina ya wachezaji wapyaKwa uchezaji huu wa Simba inaweza kuwa ngumu kidogo huko mbeleni.
Simba waongeze nidhamu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]kivumbi leoHuyu refa msenge anatudhalilisha
Hakuna kitu kama hicho.
Mbeleko ipo wazi kabisaa..!! Yaani mmebebwa hadi aibuUna type ukiwa una burudika na mpira wa viwango sema huwezi kukubali na siwezi kulazimisha ukubali
Halafu walivyo wajanja hata studio hawataki kurudia lile goli haliliolikataa refaHii mechi refa kabeti
Basi kama ni hivyo mategemeo yangu hiyo itakuwa habari njema kwenu ili mlipe kisasi.Haijamshinda anatekeleza maelekezo aliyopewa kuwa lazima Simba ichsze fainali
Tuliza kwanza fuvu alafu rudia tena ile incident utaiona offsideMbeleko ipo wazi kabisaa..!! Yaani mmebebwa hadi aibu